Wanajua sana mpira hawa watu

Wanajua sana mpira hawa watu

Ashampoo burning

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2023
Posts
1,296
Reaction score
3,929
Taifa star timu inajua sana mpira hii afu mbona majina🧐🧐 mengi ni naniii .. kwani nanii hawajui mpira
taifa-stars-2.png
 
Inatusaidia nini karne hii ya 21 kujadili udini badala ya maendeleo ya Sayansi na teknolojia!
 
Mashaka yangu, hakuna muislamu hata mmoja kwenye hiyo listi...labda kama unasema majina ya kidubai...
 
Watu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Hizi dini zinawafundisha chuki na mashindano ya kifala fala tu.

Kenya wameathiriwa na ukabila sisi tunaathiriwa na udini.
 
Angalia nitakuweka kwenye 19 za Kaka Jambaz ule Ban kwa kunihusisha na upumbavu .


I warn You a pathetic Scumbabag, this should never happen again . If you ignore , I won't spare you anymore.... MarassMbuss! Maarassmita!!
Dogo acha kiingereza cha AI 😂🤣😆
 
Dogo acha kiingereza cha AI 😂🤣😆
Unazingua Mzee Mimi najipinda kutumia akili yangu kuandika Kingereza halafu unaita cha Al ? weka evidence acha pigo za kutuhumu kingereza Changu kindezi wasomi wanakosoa kwa fact kama kina makosa wanabainisha makosa na kama cha Al wanaeleza kwa Nini na kuweka evidence, Mbusi wewe Maarasmbu Mongo !

Acha maneno mengi kama unajiweza njoo PM nikupe namba zangu tubonge Wasap kwa kingereza Kisha tuone nani atashindwa tumuweke na refa wa kukosoa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom