Wanajiandaa Kuua, Tunajiandaa Kuwafunga

Unao uhusiano wowote na Stephen Wassira, hau umeajiliwa kumsaidia kazi ofisini kwake?
 
Watakuambia wenzako...
I will be there tomorrow inshaAllah kwa ajili ya maandalizi ya mwisho. Nimepokea report mbaya sana leo, jamaa yangu ambaye ni jirani yangu hapo Kibaha (eneo ambalo nimejenga huko, na yeye alikua na kiwanja), kuwa jamaa alipigwa risasi akiwa ameshashuka kwenye daladala akitokea kazini kwake Kibamba CCM.

Leo ndio nimejua hili, I swear to Allah kisasi ni halali yangu kwa ajili ya mjane wake na wanae. InshaAllah nitaondoka nao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…