Kanjunju Leo
Member
- Apr 6, 2021
- 7
- 3
Wakuu heshima kwenu,
Nakuja kwenu nikiwaomba kwa yeyote anayeweza kunisaidia nipate kibarua ili walau niweze kupata fedha ya kula anisaidie..Niko tayari kufanya kazi ngumu ya kutumia nguvu(saidia fundi,store za nafaka n.k) au kusimamia chochote au kazi nyingine yoyote
Umri miaka 24.
Elimu:University lakini sijafanikiwa kumaliza
Nipo Dar es Salaam.
Nakuja kwenu nikiwaomba kwa yeyote anayeweza kunisaidia nipate kibarua ili walau niweze kupata fedha ya kula anisaidie..Niko tayari kufanya kazi ngumu ya kutumia nguvu(saidia fundi,store za nafaka n.k) au kusimamia chochote au kazi nyingine yoyote
Umri miaka 24.
Elimu:University lakini sijafanikiwa kumaliza
Nipo Dar es Salaam.