Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 14,840
- 31,583
Hello JF
Kwanza najua distinction between police na wanajeshi..
Na hili ninalowaza labda halijawahi kutokea…...
Ila nadhani kuna wanajeshi wengi sana ...
ambao wangeweza kulinda mji..LOL
Police resources are limited..
Ukifikiria mtu akiumia labda kapigwa risasi..ni yeye ndio aende Police kutoa taarifa...na sio police kufata crime scene...(sijui kama utaratibu ni huo bado)
Kwa hio waongezewe wanajeshi😁😁😁😁,
Wawe wanazunguka mji kama wanavyofanya sungu sungu..ama community police.😁
Itasaidia sana I think...LOL
mnaonaje,Becky kapuyanga as usual???
Kwanza najua distinction between police na wanajeshi..
Na hili ninalowaza labda halijawahi kutokea…...
Ila nadhani kuna wanajeshi wengi sana ...
ambao wangeweza kulinda mji..LOL
Police resources are limited..
Ukifikiria mtu akiumia labda kapigwa risasi..ni yeye ndio aende Police kutoa taarifa...na sio police kufata crime scene...(sijui kama utaratibu ni huo bado)
Kwa hio waongezewe wanajeshi😁😁😁😁,
Wawe wanazunguka mji kama wanavyofanya sungu sungu..ama community police.😁
Itasaidia sana I think...LOL
mnaonaje,Becky kapuyanga as usual???