wanajeshi watatu wa jwtz wapoteza maisha nchini congo

wanajeshi watatu wa jwtz wapoteza maisha nchini congo

Tony Gwanco

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2013
Posts
5,913
Reaction score
1,218
ni askari wetu walioko d.r Congo Leo wakiwa katika doria na kupata ajari ya gari


r.I .p ndugu zetu

chanzo.voice of America muda huu
 
Poleni sana JWTZ kwa kupoteza nguvu ya Taifa
 
ni askari wetu walioko d.r Congo Leo wakiwa katika doria na kupata ajari ya gari


r.I .p ndugu zetu

chanzo.voice of America muda huu

Duu hii kali! Hamna hata chombo kimoja cha Tanzania kimeripoti habari hii
 
Wewe unasikiliza station gani ya radio.? VOA imetangaza kupitia RFA.
Acha kusikiliza bongofleva masaa yote

VoA! Hao RFA si ni redio? Najua inaweza kutangazwa BBC au DW tukasikia kupitia redio washirika!
 
Kadri wanavyokufa mheshimiwa anapata umaarufu kimataifa!
 
Habari njema kwa pk na paka wake kina mukamasimba r.i.p makamanda
 
jmn mwenye kujua majina ya waliofariki naomba atuwekee hapa.
 
Back
Top Bottom