green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 11,308
- 35,852
- Thread starter
- #41
Sana mkuu na hapo Putin- Bado hajatangaza vitaDah, wanatia huruma sana aisee
Sana mkuu na hapo Putin- Bado hajatangaza vitaDah, wanatia huruma sana aisee
Putin kawajambisha siku chache tu wameanza kutafutanaMbona bado mapeeema sana
Aiseee niliiona hii habari Gravitas WION nikashangaa. Huko Russia kuna mabango kabisa tena yamesambazwa zaidi kwenye zile Kaya maskini ili wapate watuSasa hivi ni zaidi ya 50,000. Recruitment inaendelea kwa raia anayetakaView attachment 2349341View attachment 2349340
Na bado ...kisago kinachokwenda kuwapata UKROs hapo kinaweza kabisa kumaliza hii vita ..ingawa Putin kea sasa sidhani kama anataka iishe mapemaMmmmh
Mbona wa Ukraine wa huku Malandizi wanasema Askari wa Ukraine wanasonga Mbele na kurudisha maeneo. Sasa hii habari ya wao kushushiwa kipondo umeitoa wapi...
Hivi ulibahatika kuona japo picha za huo mji wa western Ukraine ilikotua hiyo kazi ya Hypersonic ? ...acha ushabiki maandazi mkuu hilo dude lisikie tu ...we unajua NATO wako wa michongo wamekaa pembeni wanacheck show kwa kupenda kwao?Hahaha operation jamaa anahangaika mpaka anatumia hypersonic missiles lakini wapi
Daah wakmbe Mungj ..Meddy asiende ...Putin anaweza wahurumia kidogoKabisa Mkuu waendelee kumuomba mung ili Putin asije akaingia vitani
Platoon commander with no combat experience.. ooh boy!Huyu gaidi akipona sidhani kama atarudi Frontline ogopa sana mtu anayekupiga afu haongei wala kutuma pichaView attachment 2348839
Mkuu ....unategemea Teja awena uhalisia?Hivi kuna mtu na akili zake timamu anaamini Ukraine itawaondoa Urus kwenye maeneo waliyoshika tayari..achilia mbali kushinda vita???
Hakika mkuu .......Comedian yeye hana fsbariBaada ya hii operation, Russia huenda akaua Hawa mbwa wote au kuweka record duniani ya Ukraine kuwa na vilema wengi kuliko nchi yoyote,
Mbona unampangia mkuu?Huyo Russia angekua hapati vilema au Vifo vya Askari wake angekua anatangaza casualties zake lkn ni miezi sita sasa tangu atoe report mwezi march kwamba wamekufa wanajeshi 1500,mwezi baadae kuna tovuti ya Urusi Bahati mbaya ikapost kwamba wanajeshi zaidi ya elfu 10 wamefariki,wakafuta fasta.
Warusi wangekua hawafi Leo hii wangekua ikulu ya kiev
Moral responsibility my foot ...hawa unelected hypocrites ndio wamewaponza wenzao ....hwwana raia wa kuwawajibisha ...na si huyu mwamba ndio alikuwa designer wa sanctions kila kukicha?Baridi limeanza kuwatoa kwenye mapangoView attachment 2349324
na bado ...wacha tuoneDah, wanatia huruma sana aisee
Mkuu ...achana na makitu inaitwa frost biteMbona bado mapeeema sana
Vijiji viwili vimekombolewa Kharkiv
Ni ngumu kuamini, ila askari wa russia wanapotea saaana ktk hii battle. Na kwa sasa wanaona bora kurudi nyuma kuliko kukazana sababu wanajua tactically wapo nyuma kuliko Ukraine.Huyo Russia angekua hapati vilema au Vifo vya Askari wake angekua anatangaza casualties zake lkn ni miezi sita sasa tangu atoe report mwezi march kwamba wamekufa wanajeshi 1500,mwezi baadae kuna tovuti ya Urusi Bahati mbaya ikapost kwamba wanajeshi zaidi ya elfu 10 wamefariki,wakafuta fasta.
Warusi wangekua hawafi Leo hii wangekua ikulu ya kiev