Bowie
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 4,372
- 6,078
Baada ya mashambulizi ya wasiojulikana kwenye vituo vya kuzalisha mafuta Saudi Arabia imefahamika kuwa Marekani watapeleka wanajeshi maelfu huko Saudi Arabia na United Arab Emirates.
Hawa wanajeshi watalipwa mishahara na marupurupu yote na nchi hizo mbili zitakazolindwa.
Je, mashambulizi haya kwenye vituo vya mafuta vilipangwa ili ajira ipatikane?
Hawa wanajeshi watalipwa mishahara na marupurupu yote na nchi hizo mbili zitakazolindwa.
Je, mashambulizi haya kwenye vituo vya mafuta vilipangwa ili ajira ipatikane?