wanajanvi wenye uelewa wa hzi koz aweke madin tuelewe vizur

mind bringer

Senior Member
Oct 19, 2017
170
51
bachelor oducation with mathematics&ict na bachelor of education with mathematics&IT

utofauti wake na ufananao wakee na ip is the BEST koz
 
Sehemu ulipo hakuna yeyote aliyesoma?, jitahidi hata kuulizia kwa watu hata hao wahitimu wa mtaani kwenu.
 
bachelor oducation with mathematics&ict na bachelor of education with mathematics&IT

utofauti wake na ufananao wakee na ip is the BEST koz
Hakuna issue zote sawa na mwisho wa siku unaishia kuwa mwalimu hata IT yako hutaifaidi kwa namna yoyote zaidi ya kusaisha madaftari na pengine ukatupwa kishule cha porini hakina hata umeme achilia mbali desktop computer
 
Hakuna issue zote sawa na mwisho wa siku unaishia kuwa mwalimu hata IT yako hutaifaidi kwa namna yoyote zaidi ya kusaisha madaftari na pengine ukatupwa kishule cha porini hakina hata umeme achilia mbali desktop computer
doooh!!! hv IT inayosomwa n sawa na yule anayechukua degree ya IT yenyewe
 
Mkuu una tatizo lolote na mtoa mada? Mbona ume mjibu kwa hasira hivyo?

Issue ya kuwa IT na mwalimu papo hapo, inategemea na mhusika kama atakuwa tiali tuu na masomo pia kumkubari.Alafu hii degree program ni nzuri sana kama ataitendea kazi vizuri hawezi kaa mtaani for nothing trust me!

Atapata vi dili vidogo vidogo na vikubwa pia, akipata shule iliyo nzuri pengine mjini au kijijini anaweza pata ajira mara 2.
Nenda zako kawe mwalimu ndio akili itakukaa sawa uko zako village ambako hata umeme hakuna uone hyo programming yako utafanyia kwenye meza au mbao
 
Mkuu una tatizo lolote na mtoa mada? Mbona ume mjibu kwa hasira hivyo?

Issue ya kuwa IT na mwalimu papo hapo, inategemea na mhusika kama atakuwa tiali tuu na masomo pia kumkubari.Alafu hii degree program ni nzuri sana kama ataitendea kazi vizuri hawezi kaa mtaani for nothing trust me!

Atapata vi dili vidogo vidogo na vikubwa pia, akipata shule iliyo nzuri pengine mjini au kijijini anaweza pata ajira mara 2.
Sina tatizo nae, tangu mwanzo nimemwambia ukweli wa kile anachokichagua..
Kama anataka kusoma Education na IT kwa Tanzania ataishia kwenye education tu na pengine akapangwa sehemu mbovu ambayo hata hiyo IT yake hawezi kuifaidi wala kuifanyia kazi.

Kingine nilimwambia kwa mfano asome education na IT sio rahisi awe competent kwenye IT ukilinganisha na mtu aliyesoma IT pure.
Akahoji tena kwanini asiwe competent ikiwa ataiweza kozi? Nikamjibu aende kwanza akawe mwalimu (hapa namaanisha mazingira ya kazi ile) then aone kama ataweza hilo analoamini.

Nina mifano ya hao watu wako bush hata gari haifiki zaidi ya zile toyota hardtop zinazopeleka mitihani ya taifa ya form four, katika mazingira kama hayo hiyo taaluma ya IT utaifanyia nini?
 
asantee kwa courage
Mkuu una tatizo lolote na mtoa mada? Mbona ume mjibu kwa hasira hivyo?

Issue ya kuwa IT na mwalimu papo hapo, inategemea na mhusika kama atakuwa tiali tuu na masomo pia kumkubari.Alafu hii degree program ni nzuri sana kama ataitendea kazi vizuri hawezi kaa mtaani for nothing trust me!

Atapata vi dili vidogo vidogo na vikubwa pia, akipata shule iliyo nzuri pengine mjini au kijijini anaweza pata ajira mara 2.
 
Sawa japo huo ni mtazamo wako, but hata kama upo kijijin kama unapata access ya mtandao mzuri na una computer yako unaweza fanya unachopenda kitu kizuri hasa pale unapokuwa free.
Sina tatizo nae, tangu mwanzo nimemwambia ukweli wa kile anachokichagua..
Kama anataka kusoma Education na IT kwa Tanzania ataishia kwenye education tu na pengine akapangwa sehemu mbovu ambayo hata hiyo IT yake hawezi kuifaidi wala kuifanyia kazi.

Kingine nilimwambia kwa mfano asome education na IT sio rahisi awe competent kwenye IT ukilinganisha na mtu aliyesoma IT pure.
Akahoji tena kwanini asiwe competent ikiwa ataiweza kozi? Nikamjibu aende kwanza akawe mwalimu (hapa namaanisha mazingira ya kazi ile) then aone kama ataweza hilo analoamini.

Nina mifano ya hao watu wako bush hata gari haifiki zaidi ya zile toyota hardtop zinazopeleka mitihani ya taifa ya form four, katika mazingira kama hayo hiyo taaluma ya IT utaifanyia nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom