Sylvester mpepi
Member
- Mar 3, 2018
- 48
- 9
Ushauri
Uwezo wako mdogo kwenye science, fanya kitu unachokiweza.Nimemaliza form four ila matokeo yangu siyo mazuri sana physics C chem D math D biology C plani yangu ni ilikua kusoma PCM na kuja kusomea computer engeenering ila naona matokeo hayajaja vizuri mnanishauliji wana jamii niende private kusoma hii combination au nipige ata college nayo ipo cool in computer engeenering ahsanteni sana naomba kiwasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante sana kwa ushauri wako broo nimzuri sana itanibidi niende privateKama unajiamini nenda alevel kapige pcm ila kama una wasiwasi wa kuteleza tena ni vema uende chuo ila ukakahakikishe unapata gpa kubwa ili utapotaka kwenda degree isiwe shida
Sent from my iPhone using JamiiForums
Naomba kuuliza eti utofauti wake ni upi kwenye coz ya computer science kwa mtu aliye enda adi A level na anaye soma kupitia collegeKama unajiamini nenda alevel kapige pcm ila kama una wasiwasi wa kuteleza tena ni vema uende chuo ila ukakahakikishe unapata gpa kubwa ili utapotaka kwenda degree isiwe shida
Sent from my iPhone using JamiiForums
Tofauti pekee ni kua ukienda alevel utaanza na degree ukienda chuo utaanza na certificateNaomba kuuliza eti utofauti wake ni upi kwenye coz ya computer science kwa mtu aliye enda adi A level na anaye soma kupitia college
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahaa nimekuelewa vzr ahsante sanaTofauti pekee ni kua ukienda alevel utaanza na degree ukienda chuo utaanza na certificate
Sent from my iPhone using JamiiForums