Brian Spilner
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 2,034
- 6,038
Maswali yapo matatu mkuu... yapitie yote.Unata SANDUKU la Posta...?
Lakini pia hata official email inamuadress anayetumiwa na nafasi yake kwenye taasisi husika, neno address ni pana kodogo (Sio lazima sanduku la posta)
Nauliza kwa lengo kuandaa taarifa ninazotuma ziwe in a professional way, naamini sija ku offend kwa hayo maswali.