Mr. Django
JF-Expert Member
- Jul 25, 2014
- 1,830
- 2,432
Asantendio...
Asantendio...
KaribuAsante
Kama unauhakika kuwa unaweza kufundisha TEHAMA kwa shule za msingi na sekondari "tuma maombi"So je sis wenye degree ya IT tunahitajika pia?
????Ningekutajia ila kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu...siwezi kuitaja hiyo shule ila mwambie aombe pengine anaweza kuitwa kwenye usaili akapafahamu. Ila si shule mpya ni ya zamani na ni kubwa tu.!
Tatizo nini hapo...?Neema Muro vs Prince Mhando
Unamaana gani...?????
kuficha mazingila ya kazi kunaleta walakiniUnamaana gani...?
hajashikwa mtu mkono vile vile sio laZima...unaweza ukaacha tu bosskuficha mazingila ya kazi kunaleta walakini
Nonsense! Nendeni mkatapeliwe.Ningekutajia ila kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu...siwezi kuitaja hiyo shule ila mwambie aombe pengine anaweza kuitwa kwenye usaili akapafahamu. Ila si shule mpya ni ya zamani na ni kubwa tu.!
Akili yako ndipo ilipofikia. Kwakuwa wewe ni tapeli namba 1.Nonsense! Nendeni mkatapeliwe.
Asante tapeli mwenzangu! Watakuja watu waombe ajira kwenye taasisi isiyotaka kujulikana, nadhani na maslahi yatakua hayajulikani pia. Hakuna mtu mwenye taasisi ya kutoa elimu km shule anaetaka shule yake isijulikane, naona leo kwa mara ya kwanza.Akili yako ndipo ilipofikia. Kwakuwa wewe ni tapeli namba 1.
uelewa wako ni mdog....wapo watu ambao wamesha tuma maombi wataleta mrejesho...nafasi yenyewe ni TEHAMA ulitaka tutangaze shule ili rundo la watafuta ajira lijazane shuleni...?Asante tapeli mwenzangu! Watakuja watu waombe ajira kwenye taasisi isiyotaka kujulikana, nadhani na maslahi yatakua hayajulikani pia. Hakuna mtu mwenye taasisi ya kutoa elimu km shule anaetaka shule yake isijulikane, naona leo kwa mara ya kwanza.
U can't be serious man! Jitafakari pamoja na uongozi wenu kwa ujumla.uelewa wako ni mdog....wapo watu ambao wamesha tuma maombi wataleta mrejesho...nafasi yenyewe ni TEHAMA ulitaka tutangaze shule ili rundo la watafuta ajira lijazane shuleni...?
Mkuu me nimechagua kukuamini na ninataka kutuma maombi ila naomba nieleweshe hivi vichache hapa.hajashikwa mtu mkono vile vile sio laZima...unaweza ukaacha tu boss
walio serius wameshatuma na baadhi wameshaelekezwa cha kufanya...wewe mwenye uelewa fungua taasisi yako ufanye unachoona kinafaaU can't be serious man! Jitafakari pamoja na uongozi wenu kwa ujumla.
UnataKa SANDUKU la Posta...?Mkuu me nimechagua kukuamini na ninataka kutuma maombi ila naomba nieleweshe hivi vichache hapa.
1. Kwenye shule hiyo wewe ni nani?
2. Nikituma maombi kwako unayachakata
wewe mwenyewe?
3. Naandikaje barua sijui anuani ya
ninakotuma? (Au barua sio muhmu?)