X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,700
- 14,766
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
Asee ni shule za msingi zipi sasa emu fafanua vizurkuna shule ambayo ina matawi yake sehemu mbali mbali hapa nchini inawatangazia watanzania wenye sifa ya kufundisha somo la tehama (ICT) shule ya sekondari na msingi wenye elimu ya certificate ama diploma.
Nafasi ya ajira kwa mkataba wa mwaka mmoja.
Utapata mshahara mnono.
Sehemu ya kuishi na usafiri kutoka nyumbani kwenda kazini.
sehemu ya kazi ni Dar es salaam
Tuma cv, vyeti pamoja na transcript.... kwenye email eddymhando25@gmail.com vyote viwe kwenye mfumo wa Pdf.
Wenye ufaulu mzuri watapewa kipaumbele, wachache wataitwa kwenye usaili.
Hapatakuwa na gharama za kujikimu kwa watakao fika kwenye usaili.
Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 1/11/2018
Mungu awabariki sana
Tuliosoma ICT o level tukafaulu vizuri hatuitajiki ?kuna shule ambayo ina matawi yake sehemu mbali mbali hapa nchini inawatangazia watanzania wenye sifa ya kufundisha somo la tehama (ICT) shule ya sekondari na msingi wenye elimu ya certificate ama diploma.
Nafasi ya ajira kwa mkataba wa mwaka mmoja.
Utapata mshahara mnono.
Sehemu ya kuishi na usafiri kutoka nyumbani kwenda kazini.
sehemu ya kazi ni Dar es salaam
Tuma cv, vyeti pamoja na transcript.... kwenye email eddymhando25@gmail.com vyote viwe kwenye mfumo wa Pdf.
Wenye ufaulu mzuri watapewa kipaumbele, wachache wataitwa kwenye usaili.
Hapatakuwa na gharama za kujikimu kwa watakao fika kwenye usaili.
Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 1/11/2018
Mungu awabariki sana
Internation/english medium school.Asee ni shule za msingi zipi sasa emu fafanua vizur
Unavyo vyeti vya ICT...? kama unavyo jaribu bahati yako.Tuliosoma ICT o level tukafaulu vizuri hatuitajiki ?
Una maana gani hapo boss....?
HakunaUnavyo vyeti vya ICT...? kama unavyo jaribu bahati yako.
Sidhani ila jaribu...bahati yakoHakuna
Kipo cha Necta kinachoonesha grades za ICT
Shule i(zi)naitwaje? Na iko/ziko sehemu gani hapo Dar?kuna shule ambayo ina matawi yake sehemu mbali mbali hapa nchini inawatangazia watanzania wenye sifa ya kufundisha somo la tehama (ICT) shule ya sekondari na msingi wenye elimu ya certificate ama diploma.
Nafasi ya ajira kwa mkataba wa mwaka mmoja.
Utapata mshahara mnono.
Sehemu ya kuishi na usafiri kutoka nyumbani kwenda kazini.
sehemu ya kazi ni Dar es salaam
Tuma cv, vyeti pamoja na transcript.... kwenye email eddymhando25@gmail.com vyote viwe kwenye mfumo wa Pdf.
Wenye ufaulu mzuri watapewa kipaumbele, wachache wataitwa kwenye usaili.
Hapatakuwa na gharama za kujikimu kwa watakao fika kwenye usaili.
Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 1/11/2018
Mungu awabariki sana
Ningekutajia ila kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu...siwezi kuitaja hiyo shule ila mwambie aombe pengine anaweza kuitwa kwenye usaili akapafahamu. Ila si shule mpya ni ya zamani na ni kubwa tu.!Shule i(zi)naitwaje? Na iko/ziko sehemu gani hapo Dar?
Naomba majibu tafadhali, kuna mtu ananiulizia.
Sina hakika kwanini unaogopa kutaja jina la shule!?? Hiyo ajira ni "dili"?Ningekutajia ila kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu...siwezi kuitaja hiyo shule ila mwambie aombe pengine anaweza kuitwa kwenye usaili akapafahamu. Ila si shule mpya ni ya zamani na ni kubwa tu.!
Hakuna dili ndugu, yangu wenye shule wametaka mambo yawe hivyo kutokana na nafasi husika ya ajira....ama kupunguza msongamano wa watu wenye lengo moja offisini...kama unavyo vigezo tuma maombi ukibahatika utaitwa kwenye usaili ukishinda utapata kazi hakuna malipo yoyote utakayotoa ili kupata kazi hiyo.Sina hakika kwanini unaogopa kutaja jina la shule!?? Hiyo ajira ni "dili"?
Ila asante kwa tangazo ngoja tuone
SawaHakuna dili ndugu, yangu wenye shule wametaka mambo yawe hivyo kutokana na nafasi husika ya ajira....ama kupunguza msongamano wa watu wenye lengo moja offisini...kama unavyo vigezo tuma maombi ukibahatika utaitwa kwenye usaili ukishinda utapata kazi hakuna malipo yoyote utakayotoa ili kupata kazi hiyo.
karibu sanaSawa
Kwahiyo wewe ndo Eddy Muhando?karibu sana
karibu sana
Kwahiyo wewe ndo Eddy Muhando?

Boss kausha! Mtu unaona jina fake la JF la kike kumbe kidume

Haaahaaa ni story nyingine kuhusu jina...ila tujadili hizo nafasi za ajiraBoss kausha! Mtu unaona jina fake la JF la kike kumbe kidume![]()