Wanahitajika vijana wa kazi

Wanahitajika vijana wa kazi

Dr. Zaganza

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2014
Posts
1,601
Reaction score
2,461
Habari wakuu.
Profit first company tunatangaza nafasi ya kazi za mauzo kwa vijana wenye sifa zifuatazo:
1.Wanaofanya kazi kwa bidii na wako tayari kuanza kazi kwa haraka
2.Wawe wazuri wa kumalizia kazi na siyo kuanza tu
3.Wawe wanaojali wateja na kuwavumilia
4.Wajue kusoma na kuandika
Kama una sifa zote au nusu ya hizo tuwasiliane kama ifuatavyo:

Profit First
Simu:0713-039875
 
Habari wakuu.
Profit first company tunatangaza nafasi ya kazi za mauzo kwa vijana wenye sifa zifuatazo:
1.Wanaofanya kazi kwa bidii na wako tayari kuanza kazi kwa haraka
2.Wawe wazuri wa kumalizia kazi na siyo kuanza tu
3.Wawe wanaojali wateja na kuwavumilia
4.Wajue kusoma na kuandika
Kama una sifa zote au nusu ya hizo tuwasiliane kama ifuatavyo:

Profit First
Simu:0713-039875
 
Mauzo mauzo yann

Kampuni gani hijui kujielezea mkuu
 
Kuweni makini mnao fuatilia kazi ajira na uhitaji mwingine. Matapeli ni wengi sana.
Kampuni nyingi ambazo hazina usajili nyingi ni wizi tu. Kuwa makini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom