Well said invisible, watu wanapokuwa na negative attitude kwa kila kitu ni tatizo kubwa sana, mimi vijana wote niliowahi kufanya nao kazi huwa tunakula meza moja, kama ni dagaa basi wote tutakula dagaa, kama ni maharage wote tunakula maharage,hivyo yaani
Vizuri...ila inabidi uongezee siku nyingine iwe kama ni nyama wote mle nyama na kama ni pilau samaki wote mle pilau samaki...msiishie kula pamoja dagaa na maharage,maisha ni haya haya tu.
Vizuri...ila inabidi uongezee siku nyingine iwe kama ni nyama wote mle nyama na kama ni pilau samaki wote mle pilau samaki...msiishie kula pamoja dagaa na maharage,maisha ni haya haya tu.
Hapo anasubiri awajaze madogo wote wanne chumba kimoja chenye magodoro yaliyolika, na kuwalisha ugali kila siku na kuwatumikisha bila kuangalia upande wao na kujali maslahi tu
kuna mwana alisem kazi ya ulinzi haitak anataka kazi ambayo atajifunza kitu kipya kila siku nikamjibu kazi ya ulinzi utajifunza vitu vingi sana ndani ya siku moja sehemu unayolinda pakiibiwa vitu na wewe haujaumia hata kidogo
kuna mwana alisem kazi ya ulinzi haitak anataka kazi ambayo atajifunza kitu kipya kila siku nikamjibu kazi ya ulinzi utajifunza vitu vingi sana ndani ya siku moja sehemu unayolinda pakiibiwa vitu na wewe haujaumia hata kk