Wanahitajika Mechanical Engineer

Ziada

Member
Joined
Dec 27, 2013
Posts
82
Reaction score
17
Wanahitajika mechanical Engineer watatu kwa kazi ya miezi miwili , kazi ni mbeya, kwa wanao tokea mbali watarudishiwa nauli yao namalazi ya siku 14 then watajitafutia makazi. Mshahara laki 8 lunch free,usafiri kwenda na kurudi kazini na matibabu kipindi chote utakachokuwa huko, elimu advanced diploma au degree kwa mwenye vigezo njoo inbox.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…