Gsana
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 4,383
- 1,321
Hao wanachuo ni wasomi kama wana akili nzuri yakufikiria nakuona mbali walitakiwa kuomba ufafanuzi mapema kutoka tume ya uchaguzi kuwa wao itakuwaje maana tarehe ya uchaguzi ilikuwa inajulikana mapema saana tu.asa wanangoja mambo hadi yaharibike ndio waje wajifanye wanataka haki ya kupiga kura?hao wanzuoni wamechemsha bora wakae kimya tuu.limeshapita hilooooooooo no soln zaidi yakutulia na kumgoja 2015.teh teh teh.
FIKIRIA MARA MBILI MKUU,KUMBUKA TULIKUWA NA UHAKIKA WA KUWAPO VYUONI kuanzia late sept. Kila mwaka,baada ya kufunga vyuo ndo wakatangaza usanii huu. Bodi ya mkopo ni wasanii kwa haki ya watanzania. Wasaidie wanavyuo kukwepa uonevu.