Wanaharakati wajiandaa kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu kuhusu sheria ya makosa ya mtandao

Kurzweil

JF-Expert Member
May 25, 2011
6,622
8,397
Wanaharakati wa haki za binadamu wanatarajia kufungua shauri katika Mahakama ya Rufani ili kupinga maamuzi ya Mahakama Kuu yaliyotolewa juu ya shauri la Sheria ya Makosa ya Mtandao kwakuwa yako kinyume na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mwishoni mwa mwaka jana Mahakama Kuu ya Tanzania iliyokuwa chini ya jopo la Majaji watatu ilimwondolea Mkurugenzi wa Mashtaka nchini(DPP) mamlaka ya kutoa adhabu isiyokatiwa rufaa kwa mshtakiwa anayekiri makosa ya kimtandao kama ilivyoombwa na Wakili Jebra Kambole ambaye alikuwa akiwakilisha taaisisi za haki za binadamu.

Kutokana na uamuzi huo uliobatilisha kifungu cha 50 cha Sheria ya Makosa ya Mtandao, Mahakama imeipa Serikali muda wa kukifanyia marekebisho kifungu hicho. Hatahivyo, Mahakama Kuu ya Tanzania imehalalisha vifungu vingine vyote vya Sheria hiyo ambavyo vimekuwa vikilalamikiwa na wadau wa matumizi ya mitandao na teknolojia ya habari.

========

Rights activists yesterday said they would challenge in the Court of Appeal a High Court ruling on the petition that sought to declare the Cybercrimes Act unconstitutional.

In December last year, the High Court overturned only Section 50 of the law as requested by the petitioner, Mr Jebra Kambole, who represented the Tanzania Human Rights Defenders Coalition (THRDC), Legal and Human Rights Center (LHRC) and other groups while declaring the other 19 of the 20 sections of the law constitutional.

Section 50 of the Act, which was enacted by Parliament in 2015, gives the Director of Public Prosecution (DPP) powers to punish a suspect who has voluntarily confessed even before the start of court procedures with subsection 2 saying the DPP’s decision would be final.

The ruling agreed with the petitioner that Section 50 of the law contravened Article 13 of the country’s Constitution, therefore ordering the Attorney General (AG) to amend the section within twelve months.

Yesterday, THRDC coordinator Onesmo Olengurumwa told The Citizen that rights groups were not satisfied with the decision and that they had resolved to appeal anytime this month. He said they would take the matter before the African Court of Human and People’s Rights (ACHPR) in case justice wouldn’t be realised in the Court of Appeal.

“Experience shows that cases involving government interests are being politicised by judicial systems in the country that is why we are preparing to take the matter to the regional and international courts,” he told The Citizen in a telephone interview, referring to the case on independent candidate among those he claimed to have been politicised.

He said, stakeholders had consulted on decision to appeal the High Court decision, saying that will mark the beginning of a long journey in search for justice domestically and internationally.

Mr Kambole said in spite of being unsatisfied with the ruling they considered themselves as winners.

“It’s because we have managed to show the law is unconstitutional in one part, though other demands have been overturned. Under normal circumstances, it takes years to do what we have done to a law assented just a year back,” he said in a telephone interview.

“We are waiting for a ruling on another case on Section 16 of the same law which has been used to try a number of people since its enactment,” he added.

Source: The Citizen
 

Attachments

  • 19cebd8e-327e-4744-891c-9fd4394a7ee7.pdf
    16.3 MB · Views: 30
Back
Top Bottom