Wanaharakati tuwe na ujasiri - Moshi

Dec 25, 2011
86
11
Mwenyekiti wa Baraza la Vijana CDM Kata ya Segerea Jeff Moshi amewataka wale wote wanaopigania haki katika nchi hii, wanafunzi vyuo vikuu,walimu na wafanyakazi sehemu mbalimbali, madaktari pamoja na wanaharakati wanaopinga ufisadi,anawatia moyo kwa kuwakumbusha kile alichowahi kukisema Mandela “Popote pale hakuna njia rahisi ya ukombozi, na wengi wetu itabidi tupitie tena na tena kwenye bonde la uvuli wa mauti kabla ya kufikia kilele cha mafanikio” Aidha mwanafalsafa wa Morocco, aliyefia Zanzibar mwaka 1313 alisema “Tutakapokufa msitutafute kwenye makaburi yaliyopambwa kwa kupakwa chokaa, bali tutafuteni kwenye mioyo ya watu tuliowatumikia”
Aidha, wapo watanzania wanaokemea maovu, lakini wanakumbana na vitisho.Wanaharakati hawa pia wasikate tama, kwa kuwa kama alivyosema mwanafalsafa wa ujerumani, Arthur Schopenhauner (1788-1860), “Ukweli wowote hupitia ngazi tatu, kwanza, ngazi ya kukejeliwa, pili ngazi ya kupingwa na hata ikibidi kumwaga damu, na tatu, kukubalika kwa kuwa ukweli hujisimamia wenyewe”
Vilevile, watanzania tubadilike tuondoe woga, Tunatakiwa tuwe na ujasiri.Mwanamama mpigania haki wa Burma Aung Suu Kyi alipotoka gerezani alipokuwa amefungwa kwa kupigania haki alisema “gereza pekee na la ukweli na halisi ni woga, na uhuru pekee wa ukweli na halisi ni uhuru dhidi ya woga. Mwenyekiti huyo wa BAVICHA Segerea aliyazungumza hayo jana. Nawasilisha!!!!!!
 
Naona Umejipanga kweli kweli mkuu,sijui umetumia siku ngapi kuianda hio mada ,kila lakheri mkuu!
 
Kilalakheri chadema kwa nia ya dhati kabisa la kulikomboa nchi hii mikononi mwa mafisadi!
 
Mwenyekiti wa Baraza la Vijana CDM Kata ya Segerea Jeff Moshi amewataka wale wote wanaopigania haki katika nchi hii, wanafunzi vyuo vikuu,walimu na wafanyakazi sehemu mbalimbali, madaktari pamoja na wanaharakati wanaopinga ufisadi,anawatia moyo kwa kuwakumbusha kile alichowahi kukisema Mandela “Popote pale hakuna njia rahisi ya ukombozi, na wengi wetu itabidi tupitie tena na tena kwenye bonde la uvuli wa mauti kabla ya kufikia kilele cha mafanikio” Aidha mwanafalsafa wa Morocco, aliyefia Zanzibar mwaka 1313 alisema “Tutakapokufa msitutafute kwenye makaburi yaliyopambwa kwa kupakwa chokaa, bali tutafuteni kwenye mioyo ya watu tuliowatumikia”
Aidha, wapo watanzania wanaokemea maovu, lakini wanakumbana na vitisho.Wanaharakati hawa pia wasikate tama, kwa kuwa kama alivyosema mwanafalsafa wa ujerumani, Arthur Schopenhauner (1788-1860), “Ukweli wowote hupitia ngazi tatu, kwanza, ngazi ya kukejeliwa, pili ngazi ya kupingwa na hata ikibidi kumwaga damu, na tatu, kukubalika kwa kuwa ukweli hujisimamia wenyewe”
Vilevile, watanzania tubadilike tuondoe woga, Tunatakiwa tuwe na ujasiri.Mwanamama mpigania haki wa Burma Aung Suu Kyi alipotoka gerezani alipokuwa amefungwa kwa kupigania haki alisema “gereza pekee na la ukweli na halisi ni woga, na uhuru pekee wa ukweli na halisi ni uhuru dhidi ya woga. Mwenyekiti huyo wa BAVICHA Segerea aliyazungumza hayo jana. Nawasilisha!!!!!!

Ccm wanapaswa kufanya kazi ya ziada ilikurudisha imani iliyopotea kwa wa tz otherwise should get prepared to become an oppostion political party
no sooner,cdm hawaonyeshi kabisa kukata tamaa na matunda ya maandamano yao na mikutano vilivyokuwa vikibezwa sana yanaonekana dhahiri raia wanaonyesha wazi na kupaza sauti kuwa wanataka mabadiliko na haki zao na hawaogopi tena vitisho na ninatabiri mwaka huu cdm itaimarika na kuenea sehemu nyingi zaidi kuliko kipindi chochote coz wameunza mwaka kwa kasi mno
 
mwenyekiti wa baraza la vijana cdm kata ya segerea jeff moshi amewataka wale wote wanaopigania haki katika nchi hii, wanafunzi vyuo vikuu,walimu na wafanyakazi sehemu mbalimbali, madaktari pamoja na wanaharakati wanaopinga ufisadi,anawatia moyo kwa kuwakumbusha kile alichowahi kukisema mandela "popote pale hakuna njia rahisi ya ukombozi, na wengi wetu itabidi tupitie tena na tena kwenye bonde la uvuli wa mauti kabla ya kufikia kilele cha mafanikio"aidha mwanafalsafa wa morocco, aliyefia zanzibar mwaka 1313 alisema "tutakapokufa msitutafute kwenye makaburi yaliyopambwa kwa kupakwa chokaa, bali tutafuteni kwenye mioyo ya watu tuliowatumikia"
aidha, wapo watanzania wanaokemea maovu, lakini wanakumbana na vitisho.wanaharakati hawa pia wasikate tama, kwa kuwa kama alivyosema mwanafalsafa wa ujerumani, arthur schopenhauner (1788-1860), "ukweli wowote hupitia ngazi tatu, kwanza, ngazi ya kukejeliwa, pili ngazi ya kupingwa na hata ikibidi kumwaga damu, na tatu, kukubalika kwa kuwa ukweli hujisimamia wenyewe"
vilevile, watanzania tubadilike tuondoe woga, tunatakiwa tuwe na ujasiri.mwanamama mpigania haki wa burma aung suu kyi alipotoka gerezani alipokuwa amefungwa kwa kupigania haki alisema "gereza pekee na la ukweli na halisi ni woga, na uhuru pekee wa ukweli na halisi ni uhuru dhidi ya woga. Mwenyekiti huyo wa bavicha segerea aliyazungumza hayo jana. nawasilisha!!!!!!


kila anachoongea hata katibu kata wa chadema au kiongozi wa tawi la wakereketwa wa chadema mtatupostia humu----
 
Back
Top Bottom