Pili, Tanzania ni wazi sana tunaomba watu waliopigwa risasi nyumbani kwao watoe taarifa kwa hiyo CNN acheni kupotosha kwa jeshi lilienda kuuwa watu nyumbani.
Idadi umeipinga kwa data zipi? Idadi yako wewe ni ngapi na umeipata wapi? Rais hausiki kivipi kwani kuna mtu mwingine mwenye mamlaka ya kutoa amri ya 'shoot to kill'? Mbona kwenye hotuba yake na vile vizee vya CCM hakukanusha kutoa amri ya hiyo badala yake aliitetea kuwa ilikuwa ni reasonable force to contain the demonstrators? Watu wanaolia mpaka leo kukoso miili ya ndugu zao mnawaambia nini? Una habari kuwa Songwe huko watu waliokimbilia Milimani for almost a week baada ya watu kuanza kugongewa milango na kupigwa risasi majumbani? Clips za watoto under 14 na mwanamama aliyepigwa risasi ya mgongo akiwa mjamzito who is supposed to take the responsibility for the atrocities/killings? Haya mambo this time around hawataweza kuyafukia kirahisi kama walivyozoea, uuaji na unyama uliofanyika lazima viongozi wakiri na kuomba msamaha hadharani, wahusika lazima wachukuliwe hatua, uchunguzi ufanywe na watu wasio connected na dola wala chama tawala.Tunajua mnapambania ugali wenu ila hii vita yenu na serikali ni ya hovyo.
Kwa sasa mnasema waliouwawa ni 10,000 kutoka elfu moja ( 1000) mnadhani binadamu ni sisimizi. Idadi hii hata kwa kiziwi tayari ni siasa chafu.
Pili, Tanzania ni wazi sana tunaomba watu waliopigwa risasi nyumbani kwao watoe taarifa kwa hiyo CNN acheni kupotosha kwa jeshi lilienda kuuwa watu nyumbani.
Kwa harakati hizi naona kuna chama kilihusika moja kwa moja katika machafuko.
Rais hausiki na mauji na ndiye rais bora sema siasa uchwara ili wafanya vijana watumiwe kama chambo.
Shekh sharif mwenyewe anajilaumu kubaki nyumbaniTunajua mnapambania ugali wenu ila hii vita yenu na serikali ni ya hovyo.
Kwa sasa mnasema waliouwawa ni 10,000 kutoka elfu moja ( 1000) mnadhani binadamu ni sisimizi. Idadi hii hata kwa kiziwi tayari ni siasa chafu.
Pili, Tanzania ni wazi sana tunaomba watu waliopigwa risasi nyumbani kwao watoe taarifa kwa hiyo CNN acheni kupotosha kwa jeshi lilienda kuuwa watu nyumbani.
Kwa harakati hizi naona kuna chama kilihusika moja kwa moja katika machafuko.
Rais hausiki na mauji na ndiye rais bora sema siasa uchwara ili wafanya vijana watumiwe kama chambo.
Mkoa wa dar es Salaam peke yake wamefika na kuvuka watu elfu...maiti azikupelekwa mochwari tu zilikuwa zimekusanywa sehemu nyingi na mapolisi, zilizo pelekwa mochwari ni wale walio fia mahospitalini ...ambulance zilikuwa azichukui maiti mitaani bali majeruhi hivyo mahospitalini walio lundikwa mochwari ni wale walio kata roho wakiwa kwenye harakati za kukimbizwa hospital na walio fia hospitalini ....Kumbuka kuwa haya mauaji yalikuwa mikoa mingi tena sehemu mbalimbali hadi vijijini.Tunajua mnapambania ugali wenu ila hii vita yenu na serikali ni ya hovyo.
Kwa sasa mnasema waliouwawa ni 10,000 kutoka elfu moja ( 1000) mnadhani binadamu ni sisimizi. Idadi hii hata kwa kiziwi tayari ni siasa chafu.
Pili, Tanzania ni wazi sana tunaomba watu waliopigwa risasi nyumbani kwao watoe taarifa kwa hiyo CNN acheni kupotosha kwa jeshi lilienda kuuwa watu nyumbani.
Kwa harakati hizi naona kuna chama kilihusika moja kwa moja katika machafuko.
Rais hausiki na mauji na ndiye rais bora sema siasa uchwara ili wafanya vijana watumiwe kama chambo.
We nyumbu!Ingizo jipya! Hii sub imekuja moto kweli kweli
Wewe uliyekuwa umefungiwa ndani unaangalia TBC tuambie ni wangapi.Tunajua mnapambania ugali wenu ila hii vita yenu na serikali ni ya hovyo.
Kwa sasa mnasema waliouwawa ni 10,000 kutoka elfu moja ( 1000) mnadhani binadamu ni sisimizi. Idadi hii hata kwa kiziwi tayari ni siasa chafu.
Pili, Tanzania ni wazi sana tunaomba watu waliopigwa risasi nyumbani kwao watoe taarifa kwa hiyo CNN acheni kupotosha kwa jeshi lilienda kuuwa watu nyumbani.
Kwa harakati hizi naona kuna chama kilihusika moja kwa moja katika machafuko.
Rais hausiki na mauji na ndiye rais bora sema siasa uchwara ili wafanya vijana watumiwe kama chambo.
Acha tishatisha watu.Nashukuru watu mmeanza kuamka wamebaki nyumbu wachache jf ambao akili zao wamefungia kabatini wanatumia za kigagula Mangekimambi, kila siku wanakuja na idadi mpya mara elfu 10 mara elfu 23 ilimradi kila nyumbu karusha teke.
Amani ya nchi hii italindwa kwa gharama yoyote iwe iwevyo ukileta uhalifu wa kinyumbu kuiba na kuharibu mali utashughulikiwa kwa kupelekewa moto mkali bila chembe ya huruma haijalishi mtakua nyumbu elfu 20 au laki 3 wote mtalionja joto la jahanam.
Hakuna huruma kwa nyumbu wahalifu