wanafunzi watano wa chuo........!

Hapana,
najua hauwez tunga jambo la uwongo pasipo kujipanga.
Ni lazima walijipanga tu.

ngumu Madame B,
kumbuka waongo wengi wanakamatwa kwa kipengele kidogo sana
ukibisha nakuchapa FIMBO ya makalioni
 
Last edited by a moderator:
kama ni mimi nazuka na uongo mpya hapo hapo fasta.nawapa ishara wenzangu tumwambie lecturer kuwa macho yetu yameacha gafla kuona vizuri, halafu wakati wa kutoka chumbani tunajifanya kupapasa mlango!
 
Mimi nlikua mmojawapo ya hao wanafunzi na hili ndilo lilikua jibu langu.
"ile pancha ilitoa mlio Mkubwa sana nikazimia kwa mshtuko, nikajikuta home"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…