A
Anonymous
Guest
Mimi ni mdau wa jamii forum ,kero yangu baadhi ya wanasiasa waache vitendo vya kuwachukua wanafunzi kwenye kampeni za uchaguzi serikali ikemee matendo hayo haijalishi chama gani kinafanya matendo hayo kwasababu wanazorotesha masomo yao na kinyume na sheria na hii video inayosamba mitandaon wachukulie hatua waliofanya kitendo hichi