Aisee minaingia mwaka wa pill na nmeomba mkopo lakini apa cjaelewa naomba mnielewesheHabari,
Nilikua naomba kuuliza, hivi ni lazima kwa wanafunzi wanaoendelea na masomo ambao wameomba mkopo kupeleka majina yao chuo ili waweze kutumiwa matokeo yao bodi ya mkopo?
Na kama mtu hajatuma matokeo yake anaweza kupata huo mkopo?
Hao ni continuing ambao mwaka jana hawakubahatika kupata mkopo. Kwa continuing ambao walipata mkopo hawaombi tena bodi inawapangia tuu usijari kijana maana umeshaanza kuogopa..Aisee minaingia mwaka wa pill na nmeomba mkopo lakini apa cjaelewa naomba mnieleweshe
Minaingia mwaka wa pili mwaka jana cjapata ndo nmeomba tena apa nasubiri ndomana nkasema bandiko lako kama linanihusu ingawa cjalielewaHao ni continuing ambao mwaka jana hawakubahatika kupata mkopo. Kwa continuing ambao walipata mkopo hawaombi tena bodi inawapangia tuu usijari kijana maana umeshaanza kuogopa..
Suala la matokeo yako ww kutumwa bodi chuo hutumiwa maombi ya wanafunzi wote ambao bodi ya mkopo inahitaji kujua matokeo yao ikiwemo na ww ambae umeomba mkopo mwaka huo rasmi na wakakupa so hauhitaji kutuma physically ww kama mwanafunzi!Aisee minaingia mwaka wa pill na nmeomba mkopo lakini apa cjaelewa naomba mnieleweshe
Hizi batch zinqzotoka saivi huwa ni za first year tu!Hebu kuna continue aliyepata mkopo katika batch tatu zilizotolewa mpk sasa??
Bora ndg yangu hata umetoa maneno ya faraja maana ilikua ni hatari sanaHizi batch zinqzotoka saivi huwa ni za first year tu!
Batch za mwisho hutumwa chuoni huwa ni continuing students wengi! Toa presha utapata tu mkopo,
Safari hii wamegawa kiasi kikubwa tofauti na miaka ya nyuma nakushauri andaa kiasi Fran mana hawa jamaa wanaweza kukupa pesa ya boom tu!
Aisee minaingia mwaka wa pill na nmeomba mkopo lakini apa cjaelewa naomba mnieleweshe
Hizi batch zinqzotoka saivi huwa ni za first year tu!
Batch za mwisho hutumwa chuoni huwa ni continuing students wengi! Toa presha utapata tu mkopo,
Safari hii wamegawa kiasi kikubwa tofauti na miaka ya nyuma nakushauri andaa kiasi Fran mana hawa jamaa wanaweza kukupa pesa ya boom tu!
Majija yatatumwa chuoni, na kama upo chuo itakua virahisi maana yatatumwa kwa softcopy kwa ma grpup yenu ya whasatp ya darasani pia ikiwemo na allocation uliyopewaKwahiyo Continuing Student taarifa wanazipata kwenye Akaunti zao au Wanasubiri majina yaje Chuo yabandikwe kwenye Notice Board?
Majija yatatumwa chuoni, na kama upo chuo itakua virahisi maana yatatumwa kwa softcopy kwa ma grpup yenu ya whasatp ya darasani pia ikiwemo na allocation uliyopewa
Umejuaje kama awamu zote zimekwisha? Half Continuing uchambuzi wao ni tofauti na Hizi zinazoendelea za First year_ Uchambuzi wao mara nyingi unachelewa hata majina mara nyingi huchelewa kufika chuoni_Wakuu awamu zote za kutoa mikopo zimekwisha si muda mrefu litafunguliwa dirisha la rufaa sasa cha kushangaza zaidi hakuna continuing yyote ambaye amepata huo mkopo.kwanini waliruhusu watu waombe ilhali wanajua kua watawanyima?
Unapoambiwa kuwa watu wakate rufaa hakuna batches zingine unaelewa vipi hapo mkuu si ina maana hakuna atakayepata.sasa Cha kushangaza ndio hicho hakuna continuing ambaye amepata.ni vema Sana wasingeruhusu watu waombeUmejuaje kama awamu zote zimekwisha? Half Continuing uchambuzi wao ni tofauti na Hizi zinazoendelea za First year_ Uchambuzi wao mara nyingi unachelewa hata majina mara nyingi huchelewa kufika chuoni_
