Wanafunzi wanaoendelea na masomo walioomba mkopo

Wanafunzi wanaoendelea na masomo walioomba mkopo

ninavyofahamu kuhusu hawo continuing ni kwamba huwezi pangiwa mkopo mpaka matokeo yako yapelekwe board ya mikopo , wajiridhishe kuwa ni kweli umefaulu na unaendelea na masomo, pili pia uwe umekidhi hivyo vigezo vyao kama board ya mikopo wanavyo jinadi, tatu majina yao pia huwa yanachelewaga kutoka, ninawenzangu wawil walipata mkopo karibia week ya 8 baada ya kifungua chuo..nakumbuka wakat tunapewa hela yetu ya round two wao waliingiziwa double.
Hata mm naelewa hivi Mkuu_
 
ninavyofahamu kuhusu hawo continuing ni kwamba huwezi pangiwa mkopo mpaka matokeo yako yapelekwe board ya mikopo , wajiridhishe kuwa ni kweli umefaulu na unaendelea na masomo, pili pia uwe umekidhi hivyo vigezo vyao kama board ya mikopo wanavyo jinadi, tatu majina yao pia huwa yanachelewaga kutoka, ninawenzangu wawil walipata mkopo karibia week ya 8 baada ya kifungua chuo..nakumbuka wakat tunapewa hela yetu ya round two wao waliingiziwa double.
Kwahiyo mkuu hata dirisha la kuapeal likifunguliwa kwa continuining haliwahusu?
 
Kwahiyo mkuu hata dirisha la kuapeal likifunguliwa kwa continuining haliwahusu?
kwa hili sifahamu wapigie simu muwaulize, kila mwaka hawa jamaa wanabadilishaga mambo, unaweza usi appeal ikawa loss kwako,

cha muhimu wapigie uwaulize kama dirisha la ku appeal ni kwa wote au first year tuu..

lakin hakikisha loan officer wa chuo kapeleka matokeo yenu board..
 
Waungwana eee muongozo ndio huoo umetoka.kwa watu wa continuous naona mchakato unaendelea japo wanasema tukate rufaa Tena Kwa option Kama unahitaji.
[emoji34][emoji34][emoji35][emoji35]
Swali langu Kama Sina document yoyote kwa zile zilizoorodheshwa pale Kuna haja ya kuapeal?
 
eh bach la continuas lilitoka na majina 10 tu chuoni kwetu sijui kwenu na watutulikuwa atujakataga rufaa atima yetu anaijua mungu
Huku hakutoka hata mmoja.vipi hao wajumbe wote walikua wamekata rufaa? Hao 10.coz huku watu wengi hatukukata rufaa na hatma hatujui kwakweli watatupa au ndio tupambane na hali[emoji31][emoji31][emoji31]
 
hata mimi binafsi yangu sikukata rufaa kabisa kwa sababu nilijua uchambuzi unaendelea kwa sisi tunaoendelea na masomo kumbe walikuwa wanatuzuga watumalize basi bhana wafanye watakalo watajijua si lazma wote tusome maisha yataendelea tu me naangaikia kuairisha mwaka nao wasiponielewa natembea zangu nidisco tu akuna namna
 
Jamani continuous tupashane habari mlioko humu au wengine wote mna mikopo? Nani aliyepata kwa hizi awamu zote na ametumia njia gani? Maana naiona Hali mbaya jaman japo najiamin ila naona wingu zito kesho yangu haina matumain[emoji31][emoji31][emoji31][emoji31]
 
mkuu nipo continuas mwenzio mchana saa7 akaunt yangu ilikuwa ina congurqtulation but now ngoma imebadilika adi najiiuloza hivi hawa ma it wa bodi wanabonya batan wakiwa wamepakatwa au kwa nni wanabadilisha majibu kama awawez kaz si wapishe wajuzi wchukue kaz pale
 
mkuu nipo continuas mwenzio mchana saa7 akaunt yangu ilikuwa ina congurqtulation but now ngoma imebadilika adi najiiuloza hivi hawa ma it wa bodi wanabonya batan wakiwa wamepakatwa au kwa nni wanabadilisha majibu kama awawez kaz si wapishe wajuzi wchukue kaz pale
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
mkuu nipo continuas mwenzio mchana saa7 akaunt yangu ilikuwa ina congurqtulation but now ngoma imebadilika adi najiiuloza hivi hawa ma it wa bodi wanabonya batan wakiwa wamepakatwa au kwa nni wanabadilisha majibu kama awawez kaz si wapishe wajuzi wchukue kaz pale
Duuuh ulifanya appeal mzee?
 
Kwa sisi ambao hatukufanya appeal Sasa ndio Basi Tena daaah poa tutapambana Mungu hamtupi mja wake
 
[emoji28][emoji28]nyie mtakua mme sahaulika kabsa....kama waliopata ni 696 wachache sana ...uki kadilia tu freshers na continuos ambao awaja pata iyo idadi ata nusu ya robo haifikii
 
[emoji28][emoji28]nyie mtakua mme sahaulika kabsa....kama waliopata ni 696 wachache sana ...uki kadilia tu freshers na continuos ambao awaja pata iyo idadi ata nusu ya robo haifikii
Mimi nataka kujua jamani Kuna continuous wowote aliyepata mkopo mwaka huu? Au Ni mm tu na mikosi yangu??
 
Back
Top Bottom