Mtende
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 6,385
- 7,295
wadau nimepata faraja sana baada ya kuona wabunge vijana wameungana ndani ya ukumbi wa bunge kutetea maslahi ya vijana ikiwa ni pamoja na ajira, elimu, ardhi pamoja na ushirikiswaji,
katika mazungumzo yao,wabunge vijana wameishinikiza wizara ya elimu kuwarudisha wanafunzi wote waliofukuza UDSM kutokana na mgomo wa kudai mikopo
katika mazungumzo yao,wabunge vijana wameishinikiza wizara ya elimu kuwarudisha wanafunzi wote waliofukuza UDSM kutokana na mgomo wa kudai mikopo