Africanar
Member
- Jan 20, 2018
- 86
- 24
Habari za wakati huu ndugu zangu na wananchi wenzangu wa hiki jukwaa la kitaaluma habari za wikienda!
pasipo kupoteza muda mimi si mwenyeji sana wa mtandao huu tukufu ila lengo la kuandaa huu uzi ni kuhitaji kufahamiana na wanafunzi wa vyuo vya ualimu wa ODPE tanzania yaani diploma ya ualimu hivyo kama upo tusalimiane na kuambiana taratibu mbalimbali na vyuo tutokavyo!
karibuni nyote,
kijana wenu geneous [HASHTAG]#africanar[/HASHTAG]
pasipo kupoteza muda mimi si mwenyeji sana wa mtandao huu tukufu ila lengo la kuandaa huu uzi ni kuhitaji kufahamiana na wanafunzi wa vyuo vya ualimu wa ODPE tanzania yaani diploma ya ualimu hivyo kama upo tusalimiane na kuambiana taratibu mbalimbali na vyuo tutokavyo!
karibuni nyote,
kijana wenu geneous [HASHTAG]#africanar[/HASHTAG]