Maana zinazoSomeni kwanza hivyo vielimu vyenu kwa sasa havina maana.
Tunawasubili
Kama elimu haina maana ungeshauri waachane nayo.Someni kwanza hivyo vielimu vyenu kwa sasa havina maana.
Acheni maneno wakuu naona mmepakazia mpaka wanafunzi wamekaa kimya....hili ndilo jukwaa lenye watu wa kuwasaidia na sio kuwatenga kama mnavyosema. Na huu ni muda wa likizo wakuu

Pata division one kwanzaMimi ni mwanafunzi wa kidato cha tano EGM mkoani mwanza. Tatizo langu nakosa hamasa ya kusoma . kitu kingine napenda kusoma IT nje ya nchi yaan nataka kupata scholarship sasa sijajua vigezo vya scholarship. Naomba msaada