sure!
ila kwenye ofisi zingine hasa za serikali naona mambo ya kutongozana na kupeana mavituz ni sehemu ya maisha yao, utakuta bosi anawapanga mstari tu watu wa chini yake! na huwa wanajuana ila hawalalamiki maana wanaamini ndio njia mojawapo ya kupata unafuu wa maisha kazini! mi naona ni kujidhalilisha tu
Wakike wengine wanaona fahari kutongozwa..,hata hivyo watu wazima hao wanajua wafanyalo.Sasa umekwenda ofisini kukaa tu au kujifunza yaani supervisor akatafute document mahali wakti denti amekaa? sio ustaarabu bana..waache wajifunze..
Dah Kwetu hawalipwi so wanaonesha huruma imenipasa niwe nawapa tafu morning na mchana ila wanasaidia ukiwepo ila ukitoka ukawaachia kazi ujue ni zero uje kuanza tena