Wanafunzi wa Rwanda wamelalamikia serikali yao kwa kuwalazimisha kujiunga na M23 ya Congo. Wameyasema hayo walipokuwa Uganda baada ya kukataa kurudi kwao Rwanda wakidai sio salama, wamedai kuna wenzao ambao walikuwa wanasoma pamoja serikali ya Rwanda iliwachukua na kuwapeleka Congo Walikuwa wakihojiwa na shirika la Voice of Amerika(VOA)