A
Anonymous
Guest
Ruhunga Secondary iliyoko katika Mkoa wa Kagera, Bukoba Vijijini, Tarafa Rubale, Kata ya Ruhunga, wana utaratibu kwa Wanafunzi wa madarasa yenye mitihani (Form 2 & 4) kuweka kambi Shuleni kwa ajili ya kujisomea jambo ambalo ni zuri ila sasa HII WAMEIFANYA KUWA LAZIMA WANAFUNZI WANAOSHINDWA KULIPA HAWARUHUSIWI KABISA HATA KUHUDHURIA DARASANI MATOKEO YAKE WATOTO WENGI WA MASKINI WAMEACHA SHULE kwani na ushahidi upo.
Viongozi wa shule, Kijiji, Kata, tarafa, wilaya, Mkoa hadi Taifa wapo na mambo haya yanaendelea Watu na "Elimu ni Bure".
Tunaomba mamlaka husika ziingilie jambo hili mapema Wizara ya Elimu, TAMIESEMI nk wasaidieni vijana wetu🙏
Pia soma ~ Hizi kambi za Wanafunzi wa madarasa ya Mitihani zimekuwa kero kwa Wazazi na Walezi
Viongozi wa shule, Kijiji, Kata, tarafa, wilaya, Mkoa hadi Taifa wapo na mambo haya yanaendelea Watu na "Elimu ni Bure".
Tunaomba mamlaka husika ziingilie jambo hili mapema Wizara ya Elimu, TAMIESEMI nk wasaidieni vijana wetu🙏
Pia soma ~ Hizi kambi za Wanafunzi wa madarasa ya Mitihani zimekuwa kero kwa Wazazi na Walezi