johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,524
- 142,799
Wanafamilia wa mchungaji Kimaro wamechangishana na kumnunulia Gari Askofu Kimati wa KKKT huko Moshi na gari hilo litakuwa ni mali binafsi ya baba Askofu na siyo ya Kanisa
Familia ya mchungaji Kimaro imejumuisha Watu wake wa karibu pia wakiwemo Dr Mwigullu, Dr Mollel, mh Saasisha, mh Godbless Lema, mama Mkapa, mama Magufuli, Dr Hans Macha, mh Mchechu, Dr Kimei, Millard Ayo, mh Kidiva, mh Sanga na wengine wengi
Source: Chomoza TV
Mungu awabariki, Sifa zote ziende kwa Mungu anayewapa watu utajiriWanafamilia wa mchungaji Kimaro wamechangishana na kumnunulia Gari Askofu Kimati wa KKKT huko Moshi na gari hilo litakuwa ni mali binafsi ya baba Askofu na siyo ya Kanisa
Familia ya mchungaji Kimaro imejumuisha Watu wake wa karibu pia wakiwemo Dr Mwigullu, Dr Mollel, mh Saasisha, mh Godbless Lema, mama Mkapa, mama Magufuli, Dr Hans Macha, mh Mchechu, Dr Kimei, Millard Ayo, mh Kidiva, mh Sanga na wengine wengi
Source: Chomoza TV
AmenNi upendo wa ajabu kwa kwel
2030?!!Mbio za Urais, nanusa dalili ya Friends of Mwigulu.
Huyo mtunza Kibubu ana kopi na kupesti njia ile ile ya Mzee wa Monduli.Mbio za Urais, nanusa dalili ya Friends of Mwigulu.
Urais ndani ya CCM utatushangaza wengi, Kati ya wautafutao na kujiona wao ndio, hakuna hata mmoja atakayeupata. Ugombea Urais utamuangukia Mwana CCM ambaye hatumdhanii.Huyo mtunza Kibubu ana kopi na kupesti njia ile ile ya Mzee wa Monduli.
Ila awe makini asije kupoteza hela zake tu
Labda!Urais ndani ya CCM utatushangaza wengi, Kati ya wautafutao na kujiona wao ndio, hakuna hata mmoja atakayeupata. Ugombea Urais utamuangukia Mwana CCM ambaye hatumdhanii.
Pesa inaongeaWanafamilia wa mchungaji Kimaro wamechangishana na kumnunulia Gari Askofu Kimati wa KKKT huko Moshi na gari hilo litakuwa ni mali binafsi ya baba Askofu na siyo ya Kanisa
Familia ya mchungaji Kimaro imejumuisha Watu wake wa karibu pia wakiwemo Dr Mwigullu, Dr Mollel, mh Saasisha, mh Godbless Lema, mama Mkapa, mama Magufuli, Dr Hans Macha, mh Mchechu, Dr Kimei, Millard Ayo, mh Kidiva, mh Sanga na wengine wengi
Source: Chomoza TV
Ni sahihi Mkuu, ila muhimu wadhibiti makundi yao mapema.Urais ndani ya CCM utatushangaza wengi, Kati ya wautafutao na kujiona wao ndio, hakuna hata mmoja atakayeupata. Ugombea Urais utamuangukia Mwana CCM ambaye hatumdhanii.
Wana najisi kanisaWanaliharibu hilo kanisa.
Naona aibu sana kusali mahali ambapo mtu anapewa kipaumbele kuliko utukufu wa Mungu na fedha ikiwa ndio msingi wa kila kitu.
Mungu awasaidie kukumbuka kusudi lake
Mali za dunia na vyote vilivyomo.Wanafamilia wa mchungaji Kimaro wamechangishana na kumnunulia Gari Askofu Kimati wa KKKT huko Moshi na gari hilo litakuwa ni mali binafsi ya baba Askofu na siyo ya Kanisa
Familia ya mchungaji Kimaro imejumuisha Watu wake wa karibu pia wakiwemo Dr Mwigullu, Dr Mollel, mh Saasisha, mh Godbless Lema, mama Mkapa, mama Magufuli, Dr Hans Macha, mh Mchechu, Dr Kimei, Millard Ayo, mh Kidiva, mh Sanga na wengine wengi
Source: Chomoza TV
IS THIS NEWS?Wanafamilia wa mchungaji Kimaro wamechangishana na kumnunulia Gari Askofu Kimati wa KKKT huko Moshi na gari hilo litakuwa ni mali binafsi ya baba Askofu na siyo ya Kanisa
Familia ya mchungaji Kimaro imejumuisha Watu wake wa karibu pia wakiwemo Dr Mwigullu, Dr Mollel, mh Saasisha, mh Godbless Lema, mama Mkapa, mama Magufuli, Dr Hans Macha, mh Mchechu, Dr Kimei, Millard Ayo, mh Kidiva, mh Sanga na wengine wengi
Source: Chomoza TV