Wanachama wenzangu msikose kuja kesho Jangwani tar 9/6

Je waheshimiwa Lowasa, Rostam na Chenge watakuwepo?
Mh. Mb. Livingstone Lusinde Kibajaji Matusi atakuwepo?
Mh. Mtukufu baba Riz-One haji kwa vile anaogopa kuanguka au?
Nkapa kwa nini asije kutufafanulia alimuuajauaje Baba wa Taifa?
Nimepita sijaona ng'ombe wala mchele wala maharagwe Jangwani, mlo upo?
Nasubiri majibu Nape ili niamue kama inalipa kuja au vipi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…