Wanachama wa JamiiForums waliotangulia mbele ya haki (Fariki) R.I.P

Sisi wengine tukifa itakuwa vigumu sana kwa watu kujua humu.

Kiongozi ! Mz Nyani ! Hii habari inagusa moyo! Hivi leo mimi au wewe, yule, afe and then pasiwepo wa kujua ! Terible ! Wewe kama mmoja wa Super senior member also celebrity hapa Jf unalisemeaje hili ?
 
Tunamwombea apumzike kwa amani..
 
Mi nikikaribia kuondoka ntawajulisha.

RIP kwa waliotangulia.

Lizzy ! Kwenye issue kama hii ya habari za UMAUTI WA KIFO ! unaleta mzaha ? Wewe utajuaje kwamba uko njia 1 ? Kwamba umekaribia kufa ? Utautoa wapi uwezo huo ? Mi hii maneno imeni'pain vya kutosha. Ni mtandao upi utakaotutambulisha vifo vyetu hapa ? Japo na sie tuje zawadiwa RIP ?
 
Well said bak... It's like he left with all the wisdom in that forum
 
Last edited by a moderator:
Kila nafsi itaonja umauti, mwenyezi mungu awapumzishe kwaa amani wote waliotangulia mbele ya haki.

Kweli kunaumuhimu wa kufahamiana na baadhi ya member, ambaye yuko tayari itakuwa poa, nipo Mbeya.
 
...kifo ni fardhi, hakiepukiki!

Hata mimi nipo radhi id yangu kuwa revealed siku ya ahadi (roho ikiacha mwili.)
Kuna ninaofahamiana nao alhamdulillah, na kwa wale tusofahamiana inshaallah
panapo majaaliwa...


Niliumia sana siku ya msiba wa mwenzangu Felix Chambi aka Makene niliyepotezana nae miaka mingi kisha kuja kusoma; https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/9206-felix-makene-afariki-dunia.html na haswa kwakujua kumbe naye alikuwa member mwenzetu tukijibishana hoja & viroja humu.
 
ni kuandika tu katika last will
unaweka id na password na unasema wajulishe wanajf umerest in peace.

Ila kwa jinsi ambavyo nimejenga bond na baadhi ya members itakuwa ngumu sana kumeza.

R.I.P waliotangulia.
 

Mosquito ! Maneno yako mswaki wa mti hayahitaji dawa ! Ni kama vile wewe hapa waitwa MBU kuna wengine WALIMWEUSI, MCHICHAPORI, BADILITABIA, NYANINGABU, BUJIBUJI, KIPIPI, SMILE, HEART, BWABWA, mie mwenyewe JUDGEMENT n.k n.k unayaonaje haya majina ? Ofcoz ni majina bandia ! Unadhani ni wangapi humu wanachart na ku'share comment na hawajuani acha sura tu hata miji waishio hawatambuani ! Kuna wakati hua najiuliza nini mantik ya ku'hide habari za utambulisho wetu sahihi sipati jibu ! Je ? Kama mimi na wewe pengine tulisoma au tuliwahifanya kazi pamoja tutajuanaje ? Kama imeshindikana tupo hai, tukifa itakuaje ?
 

ooh, najua mimi ni mmoja wao........................ nuikutoe hofu tu kuwa mi mzima kabisa japo kuna wakatyi nilipata kahofu kidogo juu yako baada ya kutokukuona kwa muda mrefu..................... nimefurahi kukuona tena kwenye avatar yako bomba kama kawaida...................

mi najuana na wanaJF wawili ama watatu hivi..................... so nikitangulia mtajulishwa tu, usijali mammy................... possibly and vice versa...................
 
Reactions: Paw

MTAMBUZI samahani kama nitakua nimekusoma wron' uelekezi wako hapa unaonesha kabisa una kila elements ya mzaha.
Sasa kama niko sahihi kwa mpango huo Jf membars mtajuana kweli ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…