Wanachama wa Hamas 15 wauwawa kwa mpigo!!

Wanachama wa Hamas 15 wauwawa kwa mpigo!!

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
7,432
Reaction score
6,515
Majeshi ya Israel jana yalifanikiwa kuwaua magaidi wa Hamas 15 kwa mpigo baada ya kuwashambulia maficho yao huko Gaza. Kwa taarifa zilizotolewa na IDF magaidi hao walikuwa wanajiandaa kuyashambulia majeshi ya Israel yanayoendelea kuso ha mbele bila upinzani huko Gaza.

Magaidi hao Wamekosa muelekeo baada ya majeshi ya Israel kuichukua Rafah na vitongoji vyake na kuharibu miundombinu ya kigaidi iliyoko chini ya Ardhi hivyo kuwafanya wakome sehemu nyingine ya kukimbilia.
 

Attachments

  • telegram_video.mp4
    1.4 MB
Majeshi ya Israel jana yalifanikiwa kuwaua magaidi wa Hamas 15 kwa mpigo baada ya kuwashambulia maficho yao huko Gaza. Kwa taarifa zilizotolewa na IDF magaidi hao walikuwa wanajiandaa kuyashambulia majeshi ya Israel yanayoendelea kuso ha mbele bila upinzani huko Gaza.

Magaidi hao Wamekosa muelekeo baada ya majeshi ya Israel kuichukua Rafah na vitongoji vyake na kuharibu miundombinu ya kigaidi iliyoko chini ya Ardhi hivyo kuwafanya wakome sehemu nyingine ya kukimbilia.
Hamas magaidi?
 
Naona wajukuu wa Paulo wananza kutekenyana juu hapo , nendeni kesho kanisani mkaimbe afu mkitoka pale kaleni nguruwe.
Nani anakula Nguruwe? And Waislam fake wanakula Ngamia hahahaha na mtume wenu alikuwa anapenda sana kisha alisema ngamia ameumbwa kwa jasho la shetani. So mnakula Part of shetani mnaenjoy..

Abu Daawood reported in his Sunan that the Prophet, sallallaahu ‘alayhi wa sallam, was asked about praying in camels’ resting places and he said: “Do not pray in camels’ resting places, for they are of the devils.” In another narration by Imaam Ahmad (in his Musnad) and also by Ibn Maajah the Prophet, sallallaahu ‘alayhi wa sallam, said: “Do not pray in camels’ resting places, for they were created from devils.” However, this does not mean that they are really created from the progeny of jinn or from the progeny of the devils among the jinn; rather, the meaning is that they are considered among the devils because of their nature, as the Arabs call any disobedient creature a devil.

refer to Fatwa 87003.
 
Mimi nimetoa habari kwa kiswahili anatokea Mmatumbi mwenzangu anataka tu naye aonekane ana-argue na mimi huo ni ulimbukeni uliopitiliza Acha ujinga!!
Kwahiyo hii nchi ina lugha moja rasmi au hypocrisy tu ndio imekujaa.. hilo neno argue ni la kimatumbi pia.. ?
 
Nani anakula Nguruwe? And Waislam fake wanakula Ngamia hahahaha na mtume wenu alikuwa anapenda sana kisha alisema ngamia ameumbwa kwa jasho la shetani. So mnakula Part of shetani mnaenjoy..

Abu Daawood reported in his Sunan that the Prophet, sallallaahu ‘alayhi wa sallam, was asked about praying in camels’ resting places and he said: “Do not pray in camels’ resting places, for they are of the devils.” In another narration by Imaam Ahmad (in his Musnad) and also by Ibn Maajah the Prophet, sallallaahu ‘alayhi wa sallam, said: “Do not pray in camels’ resting places, for they were created from devils.” However, this does not mean that they are really created from the progeny of jinn or from the progeny of the devils among the jinn; rather, the meaning is that they are considered among the devils because of their nature, as the Arabs call any disobedient creature a devil.

refer to Fatwa 87003.
Hahaha hio fatwa ya kanisani au hadith za kanisani ukiona hadithi haiendani na Qur'an ujuwe imetungwa kwenye kanisa.

If we contrast this to the Qur'an we find that there is not only no evidence that camels were created from the devils, but the Quran only speaks of camels in a positive light. God sent the camel as proof for the people of Saleh.

[7:73] To Thamûd we sent their brother Sãleh. He said, “O my people, worship GOD; you have no other god beside Him. Proof has been provided for you from your Lord: here is GOD’s camel, to serve as a sign for you. Let her eat from GOD’s land, and do not touch her with any harm, lest you incur a painful retribution
 
Majeshi ya Israel jana yalifanikiwa kuwaua magaidi wa Hamas 15 kwa mpigo baada ya kuwashambulia maficho yao huko Gaza. Kwa taarifa zilizotolewa na IDF magaidi hao walikuwa wanajiandaa kuyashambulia majeshi ya Israel yanayoendelea kuso ha mbele bila upinzani huko Gaza.

Magaidi hao Wamekosa muelekeo baada ya majeshi ya Israel kuichukua Rafah na vitongoji vyake na kuharibu miundombinu ya kigaidi iliyoko chini ya Ardhi hivyo kuwafanya wakome sehemu nyingine ya kukimbilia.
Safi Sana. Si yanapenda kufa?

Nyau de adriz
 
Hahaha hio fatwa ya kanisani au hadith za kanisani ukiona hadithi haiendani na Qur'an ujuwe imetungwa kwenye kanisa.
Waislam mna nini sasa maana hizo Hadithi zenu zimetumika kuwahadaa mamilion ya wasio waislam kwa miaka yote na zitaelendelea kuhadaa raia kwa uongo wenu hadi nyie mmeneshwa na Iblis mkaamini uongo huo mkanaswa mkawa waislam. And Quran yenyewe imeletwa na Christian Arabs hamna chenu Waraq ibn Nawfal alikuwa Christian na ndie baba yake Mtume wenu na ndie aliyembadilisha jina from Qutham kuwa Mohamed.
If we contrast this to the Qur'an we find that there is not only no evidence that camels were created from the devils, but the Quran only speaks of camels in a positive light. God sent the camel as proof for the people of Saleh.

[7:73] To Thamûd we sent their brother Sãleh. He said, “O my people, worship GOD; you have no other god beside Him. Proof has been provided for you from your Lord: here is GOD’s camel, to serve as a sign for you. Let her eat from GOD’s land, and do not touch her with any harm, lest you incur a painful retribution
Kama unakana Ngamia vipi kula Watu Waislam na wasio waislam chuo cha al-azhar university cha Egypt kinafundisha jinsi ya kundaa mwili wa binadamu hadi kuula .. Waislam wala Watu Allah anashinda gani? Total iblis.

 
Waislam mna nini sasa maana hizo Hadithi zenu zimetumika kuwahadaa mamilion ya wasio waislam kwa miaka yote na zitaelendelea kuhadaa raia kwa uongo wenu hadi nyie mmeneshwa na Iblis mkaamini uongo huo mkanaswa mkawa waislam. And Quran yenyewe imeletwa na Christian Arabs hamna chenu Waraq ibn Nawfal alikuwa Christian na ndie baba yake Mtume wenu na ndie aliyembadilisha jina from Qutham kuwa Mohamed.
Hahaha hizo story mnazitoa wapi Mtume Muhammad alitwa tokea utoto wake jina la Muhammad na mama yake based on a dream she had. Kuna history nyingi tokea utoto wake anaitwa jina la Muhammad. Hilo jina mnalisema anaitwa Qutham hahaha mana ya Qutham na Qathum: mwenye kukusanya vitu kwa ajili ya kheri, au pia hilo jina linasemwa kama huyo mtu ikiwa ni mkarimu sana (Qutham), na (Qutham): mwenye tabia njema. Mtasumbuka sana kumharibu Mtume Muhammad sifa au kumpandilizia uwongo. Nenda kajifunze kiarabu ujuwe nini mana ya neno Qutham. Hilo jina alitwa sio na mama yake ni watu ndio walimuita vile kama jina la mtu mwenye tabia nzuri na mkarimu mwenye kufanya kheri.

Kama unakana Ngamia vipi kula Watu Waislam na wasio waislam chuo cha al-azhar university cha Egypt kinafundisha jinsi ya kundaa mwili wa binadamu hadi kuula .. Waislam wala Watu Allah anashinda gani? Total iblis.

Hizo Story za kula watu lazima kuna mkono wa Jewish na Christian hapo 😆 😂
 
Hahaha hizo story mnazitoa wapi Mtume Muhammad alitwa tokea utoto wake jina la Muhammad na mama yake based on a dream she had. Kuna history nyingi tokea utoto wake anaitwa jina la Muhammad. Hilo jina mnalisema anaitwa Qutham hahaha mana ya Qutham na Qathum: mwenye kukusanya vitu kwa ajili ya kheri, au pia hilo jina linasemwa kama huyo mtu ikiwa ni mkarimu sana (Qutham), na (Qutham): mwenye tabia njema. Mtasumbuka sana kumharibu Mtume Muhammad sifa au kumpandilizia uwongo. Nenda kajifunze kiarabu ujuwe nini mana ya neno Qutham. Hilo jina alitwa sio na mama yake ni watu ndio walimuita vile kama jina la mtu mwenye tabia nzuri na mkarimu mwenye kufanya kheri.
Unajitahidi kujibu kama unajua vile kumbe hujui hilo Jina ndio Jina alilolithi la ukoo na wala sio Jina kwa sababu ya tabia yake, Arabs wanatabia ya kuendeleza Jina la ukoo haswa kwa mtoto wa kiume wa kwanza so mjomba wake aliitwa Qutham alikufa ndio Jina la kuzaliwa mtoto akaitwa Qutham. Pia alizaliwa miaka 4 bajada ya baba take kufa kibinadamu tunajuw ni mtoto haram Kwa waislam mtoto wa muta marriage kuficha aibu eti mke akifiwa au kupewa taraka hata akipata mimba au akazaa mtoto atahesabika mtoto halal wa ndoa na baba anakuwa yule aliye ondoka .

baadae ndio anajiita Mohamad yaani Wakuabudiwa na mnamuabudu hadi leo na mnam assossiate na Allah
Hizo Story za kula watu lazima kuna mkono wa Jewish na Christian hapo 😆 😂
For 14 hundred years hizo Hadithi zenu mmezikubali katika uislam na mmedhihifadhi now dunia ya uwaazi mnaona aibu na ushetani wenu kuwa hiyo dini kuifuata lazima mjitoe aibu. Mental illness.

Kula Watu ni uislam.. sijui yule Joshua mtanzania usikute hamas waahamla.. kudadeki hahahahahaha...

Alafu nikifundishe kitu ewe fake muslim dhaifu hadithi hazikataliwi zipo kwa ajili ya kuutetea uongo wa uislam sometimes yaani lazima muislam azitumie anapobanwa au akiwa atataka kudanganya jamii, kichekesha akikataa anaharibu kwengine , maana Allah anapenda uongo na usipo fanya madhambi Allah anawareplace na watu wengine wataotenda dhambi ili wamuombe msamaha ndio anapenda. Kusomewa..

So dhaifu hadithi hazijakataliwa... Kasome uislam

Haya tuambie muislam Kula nguruwe ukiwa na Njaa ya kufa ni halal au haram?

Nataka nione ukipingana na Quran
 
Back
Top Bottom