Wanachama bandia Wakamatwa wakielekea Makao Makuu ya CHADEMA; Waandishi wa UHURU na STAR TV wapigwa!

Hivi huyo Masaburi ni Nani ?? Viongozi Wa ukawa mnasubiri nini kumchukulia hatua na ushaidi upo
Huyo mpumbavu asituharibie Amani yetu
 
Wapumbavu sera hawana wanaanzisha vurugu. Mm nimefurah walivyovyunjwa miguu na kupigika balaa. Hao star tv wangewapiga zaidi mana wanatetea maccm live. Viva uka viva Lowasa.
 
Vijana sii unakikatio chako maandamo ya nini kama humpendi wapo wanaompenda cha mkatae siku ya uchaguzi
 

Uwe na uhakika kwani "asimae uongo kwa mwenzake ni chukizo kwa bwana ".
 
Intelligence ya chadema naikubali sana,kule mipango yao inaratibiwa na Savimbi,kichwa cha panzi na masabukundu
 
Hingereni sana vijana wazalendo watanzania, yaani ninatamani mngekuwa na petrol muwamalize hao mafeduli mapandikizi. SSM mnaogopa kitu gani? Kama mmefanyia watanzania wema msingahangaika kiasi hiki. Mateso na manyanyaso yana mwisho wake, na mwisho huo ni 25 October 2015. Ninakipongeza sana CHADEMA na UKAWA kwa kampeni za kistaarabu. Hakika Lowassa ni mtu mwenye hofu ya Mungu. Alisema kabisa kuwa atafanya kampeni za Kistaarabu na imekuwa hivyo. Lowassa si mlimkataa nyie SSM? Sisi wananchi tumemchukua na ndiye tunamtaka. Kwa mtu mwenye busara atakubaliana na mimi kuwa waleta machafuko na waharibifu wa amani nchi hii ni CCM na hii imezidi kujidhihirisha kampeni hizi. Ninawasihi wote tupendao amani tuendelee kuhamasisha ndugu na jamaa zetu kuwa chaguo pekee la kutuongoza kwa hali tuliyofikia Watanzania kwa Sasa ni UKAWA tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…