WanaCCM wanaompinga Magufuli siwaelewi

Naamini hamna jipya linalofanyika, hamna siri kwenye yanayofanyika, 'party caucas' wapeni semina, wapeni kozi, waielewe nn kinachofanyika, naamini vakielewa watawatetea badala ya kuwapinga , hata huku grassroots watatuletea habari maana ni wawakilishi wetu hao tumewachagua! Wapeni darasa tu waelewe , wafundishen wataelewa tu!
 
Ukiona hivo jua sio wanufaika,mnufaika yeyote hawezipinga.
 
Usipende kuchuka avatar za wanaume wewe dada utakuja pata mimba usiotarajia toa mara moja iyo avatar yangu
Mkuu umekalia kitu kigumu kirefu?.wewe ni mchele mchele mbona unababaikia wanaume.hiyo Avatar ninayo miaka mingi na ni picha halari Mimi ni mume wa mwanamke mwenzio sifanyagi hiyo michezo
 
Magufuli ni pedeshee msanii hana analolijiwa kwenye uongozi hajui sera gani za kiuchumi anafuata yupo yupo tu ni mzigo kwa taifa wana ccm wenzake wamemuona hawawezi acha nchi inaangamia kwa mshamba kama huyo raisi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…