Mleta hoja ulilenga kuwashirikisha kitu gani wanajf? Au unataka kushindana na Bashe? Maana unamshambulia as if una hoja kumbe wivu na utoto tu unakusumbua. Jifunze kujenga hoja kwani kumsemea humu hakukusaidiii wewe wala chama chako. Sikutukani lakini uwezo wa hiyo akili inayoongoza huko kwenu ipo very low na hata ya kwako ndio kabisaaa charge imeisha!