WanaCCM wanaompinga Magufuli siwaelewi

Mleta hoja ulilenga kuwashirikisha kitu gani wanajf? Au unataka kushindana na Bashe? Maana unamshambulia as if una hoja kumbe wivu na utoto tu unakusumbua. Jifunze kujenga hoja kwani kumsemea humu hakukusaidiii wewe wala chama chako. Sikutukani lakini uwezo wa hiyo akili inayoongoza huko kwenu ipo very low na hata ya kwako ndio kabisaaa charge imeisha!
 
Mleta mada, sina shaka kuwa maisha yako yote hutegemea uwepo madarakani kwa CCM. Si kwa elimu yako. Pole sana.
 
WEWE UTAKUWA HUMPHREY POLEPOLE,UNAPOONA WAFUSI AWAELEWI PROPAGANDA ZAKO.WENYE AKILI TUMESHAKUJUA UNAPIGANIA TUMBO,SO TUNAKUPUUZIA MKUU.

[HASHTAG]#NJAA[/HASHTAG] MBAYA.
 
Kwani asipingwe yeye ni nani? Huyu mtu ni wa kupingwa na watanzania wote wanaojitambua. Hivi inawezekanaje anachukua pesa zetu za wavuja jasho tena bila idhini ya Bunge halafu anaenda kujengea uwanja wa ndege huko kijijini kwao ambako hata abiria kumi hawawezi kupatikana. Huoni kwamba kalitia hasara taifa hili? Tutampinga muda wote na ikifika 2020 tutamrejesha kwao akafuge punda wale wanaomulikwa na taa za barabarani.
 
Sikiliza hotuba za wanaCCM wanaopiga kelele kitaluni kukosoa miradi ya Magufuli kisha nenda katafute file zao ndipo utagunduwa this time akili kubwa ipo ikulu na akili ndogo zilizobebwa mpaka kupata manyadhifa makubwa zinaitesa CCM.


Mbunge yeyote aliye na elimu nzuri ndani ya CCM anakosoa kwa akili haropoki wala hapigi kelele anajua kile Magufuli anafanya ni mtaji wa mbele.

Jambo hawa wanaopiga kelele wanafanya ni as if CCM ni ya kwao ama ni ya Magufuli kumbe wote ni waajiriwa wa chama na baada ya kipindi fulani watapumzishwa.

Hoja wanaCCM wanapaswa kuipigia makofi ni hoja ya kukilinda chama na kukitengeneza kiende mbele othewise wanachofanya akina Bashe na kundi lake ni bora wahamie CHADEMA wala wasitusumbue na vidata vyao vya kizushi..

CCM oyee...
876a0440ab0631f8807c5e5e53785dad.jpg
bc9b4fb0d1b3cc71a1308f343ecb523a.jpg
 
Kwan ubaya wa kumpinga mwenyekiti wetu ni upi?
Kikubwa akipingwa kwa hoja bhasi zijibiwe hoja hizo na sio kuona wanaopinga ni wasaliti
 
Et bashe elimu ndogo ila akina mlinga na msukuma plus yule dada ndio wana elimu kubwa. Tz bado sana
 
Sikiliza hotuba za wanaCCM wanaopiga kelele kitaluni kukosoa miradi ya Magufuli kisha nenda katafute file zao ndipo utagunduwa this time akili kubwa ipo ikulu na akili ndogo zilizobebwa mpaka kupata manyadhifa makubwa zinaitesa CCM.


Mbunge yeyote aliye na elimu nzuri ndani ya CCM anakosoa kwa akili haropoki wala hapigi kelele anajua kile Magufuli anafanya ni mtaji wa mbele.

Jambo hawa wanaopiga kelele wanafanya ni as if CCM ni ya kwao ama ni ya Magufuli kumbe wote ni waajiriwa wa chama na baada ya kipindi fulani watapumzishwa.

Hoja wanaCCM wanapaswa kuipigia makofi ni hoja ya kukilinda chama na kukitengeneza kiende mbele othewise wanachofanya akina Bashe na kundi lake ni bora wahamie CHADEMA wala wasitusumbue na vidata vyao vya kizushi..

CCM oyee...
We huna habari ndugu, asilimia 99 ya wanaoiunga CCM mkono ni wajinga na maskini...mfano. Agness Marwa na Lusinde(Utafiti wa Twaweza)

Bashe ni CEO wa habari Corporation, hana njaa ndo maana ana uwezo wa kumchapa Magu ngumi za uso na maisha yakaendelea
 
Sikiliza hotuba za wanaCCM wanaopiga kelele kitaluni kukosoa miradi ya Magufuli kisha nenda katafute file zao ndipo utagunduwa this time akili kubwa ipo ikulu na akili ndogo zilizobebwa mpaka kupata manyadhifa makubwa zinaitesa CCM.


Mbunge yeyote aliye na elimu nzuri ndani ya CCM anakosoa kwa akili haropoki wala hapigi kelele anajua kile Magufuli anafanya ni mtaji wa mbele.

Jambo hawa wanaopiga kelele wanafanya ni as if CCM ni ya kwao ama ni ya Magufuli kumbe wote ni waajiriwa wa chama na baada ya kipindi fulani watapumzishwa.

Hoja wanaCCM wanapaswa kuipigia makofi ni hoja ya kukilinda chama na kukitengeneza kiende mbele othewise wanachofanya akina Bashe na kundi lake ni bora wahamie CHADEMA wala wasitusumbue na vidata vyao vya kizushi..

CCM oyee...
Akili kubwa yenyewe ni Kama ya AGNES MARWA?
Teh Teh Teh Teh
 
Sikiliza hotuba za wanaCCM wanaopiga kelele kitaluni kukosoa miradi ya Magufuli kisha nenda katafute file zao ndipo utagunduwa this time akili kubwa ipo ikulu na akili ndogo zilizobebwa mpaka kupata manyadhifa makubwa zinaitesa CCM.


Mbunge yeyote aliye na elimu nzuri ndani ya CCM anakosoa kwa akili haropoki wala hapigi kelele anajua kile Magufuli anafanya ni mtaji wa mbele.

Jambo hawa wanaopiga kelele wanafanya ni as if CCM ni ya kwao ama ni ya Magufuli kumbe wote ni waajiriwa wa chama na baada ya kipindi fulani watapumzishwa.

Hoja wanaCCM wanapaswa kuipigia makofi ni hoja ya kukilinda chama na kukitengeneza kiende mbele othewise wanachofanya akina Bashe na kundi lake ni bora wahamie CHADEMA wala wasitusumbue na vidata vyao vya kizushi..

CCM oyee...
KInachojadiliwa bungeni kwa sasa ni mpango wa maendeleo wa taifa siyo miradi ya Magufuli. Kimsingi miradi yote inayoendelea ni ya Taifa na siyo ya mtu binafsi. Jaribu kushirikisha kidogo ubongo wako kabla hujaandika thread.
 
Sikiliza hotuba za wanaCCM wanaopiga kelele kitaluni kukosoa miradi ya Magufuli kisha nenda katafute file zao ndipo utagunduwa this time akili kubwa ipo ikulu na akili ndogo zilizobebwa mpaka kupata manyadhifa makubwa zinaitesa CCM.


Mbunge yeyote aliye na elimu nzuri ndani ya CCM anakosoa kwa akili haropoki wala hapigi kelele anajua kile Magufuli anafanya ni mtaji wa mbele.

Jambo hawa wanaopiga kelele wanafanya ni as if CCM ni ya kwao ama ni ya Magufuli kumbe wote ni waajiriwa wa chama na baada ya kipindi fulani watapumzishwa.

Hoja wanaCCM wanapaswa kuipigia makofi ni hoja ya kukilinda chama na kukitengeneza kiende mbele othewise wanachofanya akina Bashe na kundi lake ni bora wahamie CHADEMA wala wasitusumbue na vidata vyao vya kizushi..

CCM oyee...
Mkuu unasaka nyadhifa? Hueleweki
 
Nafikiri ufahamu wako ni mdogo sana! Rudi ukajitathmini upya.
Mimi naiona comment yako kuwa ni ya kijinga sana, vinginevyo wewe ututhibitishie kuwa wewe ulisomea taaluma ipi ya kujua "kiwango cha ufahamu" wa binadamu mwenzako. Kama utashindwa kuthibitisha humu ndani basi tutakuchukulia kuwa ni sawa na mwehu ambaye akimuona mtu mzima mwenye akili timamu, mwehu huyo humwita mwenye timamu mwehu. Si ajabu uko kwenye kundi hilo. Jitathimini.
 
Sikiliza hotuba za wanaCCM wanaopiga kelele kitaluni kukosoa miradi ya Magufuli kisha nenda katafute file zao ndipo utagunduwa this time akili kubwa ipo ikulu na akili ndogo zilizobebwa mpaka kupata manyadhifa makubwa zinaitesa CCM.


Mbunge yeyote aliye na elimu nzuri ndani ya CCM anakosoa kwa akili haropoki wala hapigi kelele anajua kile Magufuli anafanya ni mtaji wa mbele.

Jambo hawa wanaopiga kelele wanafanya ni as if CCM ni ya kwao ama ni ya Magufuli kumbe wote ni waajiriwa wa chama na baada ya kipindi fulani watapumzishwa.

Hoja wanaCCM wanapaswa kuipigia makofi ni hoja ya kukilinda chama na kukitengeneza kiende mbele othewise wanachofanya akina Bashe na kundi lake ni bora wahamie CHADEMA wala wasitusumbue na vidata vyao vya kizushi..

CCM oyee...
Mawazo Mgando inaonekana unafagilia UNAFIKI sasa tambua wengine Unafiki Ni MWIKO
 
Back
Top Bottom