Wanaaga halafu hawaondoki

Ungeweka wale maafande wa mwenge wanaobebeshwa pistol za semi automatic na revolver alafu wanawekewa nembo mgongoni eti SWAT ila bongo nyoso kweli kweli .

Muhifadhi mkuu wa silaha makao ,Mungu anamuona aisee
Mkuu sitaki nizikwe bila kichwa๐Ÿ˜€๐Ÿ™Œ๐Ÿฟ๐Ÿƒ๐Ÿฟ
 
Usiteseke, wanatupa hasira za kutafuta pesa ๐Ÿ˜

"Naweza kukulisha wewe, vifaranga vyako na ukoo wako mzima, mwaka mzima"

Au unaanzisha uzi

"Nimepata milioni 70 ila sijui biashara gani ya kuwekeza"

Hizi zote ni faida kwa wengi ๐Ÿ˜
 
Usiteseke, wanatupa hasira za kutafuta pesa ๐Ÿ˜

"Naweza kukulisha wewe, vifaranga vyako na ukoo wako mzima, mwaka mzima"

Au unaanzisha uzi

"Nimepata milioni 70 ila sijui biashara gani ya kuwekeza"

Hizi zote ni faida kwa wengi ๐Ÿ˜
Mara nina meza ya madera kkoo ni mateso haki๐Ÿ˜“
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ