Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,206
- 18,548
1. Kafulila (Kafulila kosa lake halikua 2015 bali mwaka alipo ondoka cdm na kuungwa mkono na zzk)
2. zzk kabwe ( Kuna mambo aliamini yatatokea xha ajabu hakuna lililo tokea kama kuamini wabunge wa ccm na cdm wangeungana naye kwenye chama hake kipya, sasa ana haha apate pa kujishika haoni na anafyeka pori pekee yake wakati ukawa wanasonga mbele)
3. Lipumba ( huyu alidanganyika na ccm akidhani watampa nafasi, kumbe baada ya kutumika wakamtema)
4. Dr Slaa ( Huyu naye ni kama lipumba, aliimgizwa mkenge na ccm, sijui kama bado anakula bata, lakini nauhakika kuna kitu ana kimiss bila cdm)
5. Mwigamba ( Alidanganywa na kundi la zzk na sasa hana pa kutokea)
6. Machali ( danganywa na timu zzk)
7. Nchimbi ( danganywa na timu lowassa)
8. Membe ( danganywa na timu kikwete)
9. Kingunge ( Danganywa na Timu lowassa)
10. Masha ( Danganywa na timu lowassa)
Lowassa sijamweka hapo kwa sababu , chadema ndio amepata nafasi ya kuendeleza ndoto zake, angebaki ccm ndio ulikua mwisho wake kiasiasa 2015.
2. zzk kabwe ( Kuna mambo aliamini yatatokea xha ajabu hakuna lililo tokea kama kuamini wabunge wa ccm na cdm wangeungana naye kwenye chama hake kipya, sasa ana haha apate pa kujishika haoni na anafyeka pori pekee yake wakati ukawa wanasonga mbele)
3. Lipumba ( huyu alidanganyika na ccm akidhani watampa nafasi, kumbe baada ya kutumika wakamtema)
4. Dr Slaa ( Huyu naye ni kama lipumba, aliimgizwa mkenge na ccm, sijui kama bado anakula bata, lakini nauhakika kuna kitu ana kimiss bila cdm)
5. Mwigamba ( Alidanganywa na kundi la zzk na sasa hana pa kutokea)
6. Machali ( danganywa na timu zzk)
7. Nchimbi ( danganywa na timu lowassa)
8. Membe ( danganywa na timu kikwete)
9. Kingunge ( Danganywa na Timu lowassa)
10. Masha ( Danganywa na timu lowassa)
Lowassa sijamweka hapo kwa sababu , chadema ndio amepata nafasi ya kuendeleza ndoto zake, angebaki ccm ndio ulikua mwisho wake kiasiasa 2015.