Wana MMU, nimepima UKIMWI jana ila

Wana MMU, nimepima UKIMWI jana ila

Msandawe Halisi

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2010
Posts
647
Reaction score
351
Mwezi moja na nusu uliopita ndio ulikuwa mwisho wangu wa kudadavuana kavukavu. Matokea yalikuwa HIV negative. Je ninaweza sherekea ushindi au still nipo danger zone?
 
UNASHEREHEKEA VITANI????
drinking-red-wine.gif
beer.gif
smileys-drinking-beer.gif
drunk-smiley-emoticon.gif
champagne-popping-smiley-emoticon.gif
cheers.gif
very-drunk.gif
drinking-beer.gif
beer-chugger.gif
champagne.gif
drinking-wine-smiley-emoticon.gif
champagne-2.gif
milk-smiley-emoticon.gif
st-patricks-day-smiley-emoticon.gif
cheers-smiley-emoticon.gif
drink-toast-smiley-emoticon.gif
margarita-smiley-emoticon.png
red-wine-smiley-emoticon.png
 
Hongera, angalau wewe umekuwa jasiri...hata mara ya pili haitakuwa ngumu. Wengine tumekuwa cowards kwa hili
 
Nenda kapime tena,na uache uzinzi,huwezi oa.
 
Usirudie tena kunywa maji machafu....teh teh teh
 
Inafatana na kipimo ulichotumia, Hospitali kubwa wana kipimo cha kisasa kinaonyesha mbivu na mbichi hata kama umetoka kumeng'enya jana tu, ni expensive kidogo na si cha bure kama ANGAZA, usijiaminishe na next time acha kujitoa mhanga wa panzi maana hata Condoms sio 100% effective.
 
Baada ya mwezi nenda tena, ukifikisha miezi miwili nenda tena pia, jitahidi ufikishe japo mara tatu

Kwa hapo majibu ya kwanza inabidi utanue kifua matumaini kimtindo
 
Sheherekea ushindi, ila ujitunze pia, wenzako tunaogopa hata kun'gaa sharubu pande zile hapana dogo pale
 
Hama team kavu kavu, ukiweza hata timu zinaa hama! Kwa sasa hongera sana, mimi nikiwa na uhakika sina wadudu nitaenda kupima
 
Hama team kavu kavu, ukiweza hata timu zinaa hama! Kwa sasa hongera sana, mimi nikiwa na uhakika sina wadudu nitaenda kupima

Umenichekesha. Sasa utapataje uhakika bila kupima? Au ndo unamtanguliza wifi!
 
Mwezi moja na nusu uliopita ndio ulikuwa mwisho wangu wa kudadavuana kavukavu. Matokea yalikuwa HIV negative. Je ninaweza sherekea ushindi au still nipo danger zone?
ushindi? nadhani umeniacha njia panda..

were you fighting something??
 
Kapime tna then weka kofuli funguo tupa mbaliiii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom