PreGE2025 Wana Mbeya wafanya maombi maalumu kwa ajili ya kupatikana kwa Mdude

PreGE2025 Wana Mbeya wafanya maombi maalumu kwa ajili ya kupatikana kwa Mdude

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Kuna kila dalili kuwa Tanzania tuna kikosi cha Gestapo kama ilivyokuwa Ujerumani ya Adolf Hitler.

The Gestapo, short for Geheime Staatspolizei, was the official secret police of Nazi Germany and German-occupied Europe. It was formed in 1933 and played a significant role in enforcing the Nazi regime, including the Holocaust. The Gestapo had the power to arrest individuals without due process, often based on accusations without evidence. It was a key part of the Schutzstaffel (SS), the elite paramilitary organization of the Nazi Party, and its leaders included Hermann Göring, Reinhard Heydrich, Ernst Kaltenbrunner, and Heinrich Himmler.

Vv
 
Drama kama kawaida ,watu wa Mbeya wanapenda imani za kijinga sana

USSR
 
Unasali sala ya binafsi usipayukepayuke, na ikiwa swala ya wengi basi iongozwe na mmoja wenu!
 
Mungu aturehemu maana haya maombi yakifika mbele ya Mungu basi Mungu atajibu kwa mapigo. Hatjui ni siku gani lakini tutakuja kuomboleza tusipotubu na kuacha njia zetu mbaya.
 
Wauaji wanajiona wameshamaliza dunia. Nyakati inakuja watajuta na hapatakuwa na pa kukimbilia.
 
Back
Top Bottom