Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Hakika sisi wana Mbeya tumefarijika sana kwa utawala wako mama Samia.
Tunajua kuwa bado una mambo mengi ya kuyarekebisha ikiwemo katiba na tume huru ya uchaguzi.
Leo hii sisi wana Mbeya tunatoa shukrani nyingi kuona umeturudishia furaha zetu zilizo zimwa na wenye nguvu.
Leo hii tumepokea viongozi wa cdm ,Leo hii tumepata nafasi ya kukusanyika kuwasikikiza wanachama wenzetu bila kupigwa virungu na kutupwa lokapu.
Hakika mnyonge mnyongeni lkn haki zake mpeni.
Tumeanzia hapa Mbalizi kuonyesha kuwa tuna uhitaji upinzani wa kweli ndani ya mkoa wetu.
Tunajua kuwa bado una mambo mengi ya kuyarekebisha ikiwemo katiba na tume huru ya uchaguzi.
Leo hii sisi wana Mbeya tunatoa shukrani nyingi kuona umeturudishia furaha zetu zilizo zimwa na wenye nguvu.
Leo hii tumepokea viongozi wa cdm ,Leo hii tumepata nafasi ya kukusanyika kuwasikikiza wanachama wenzetu bila kupigwa virungu na kutupwa lokapu.
Hakika mnyonge mnyongeni lkn haki zake mpeni.
Tumeanzia hapa Mbalizi kuonyesha kuwa tuna uhitaji upinzani wa kweli ndani ya mkoa wetu.