Hapo wakuu mmeniacha hoi,huyo malaria sugu aligombea ili ampinge mke wawaziri mkuu na makamu mwenyekiti mstaafu wa ccm je atamuweza kweli?ni hiyo nccr manunuzi iko wapi? Kwa taarifa yenu kikwete sio docta wa hospitali ni docta wa ngono chafu,mtoto wa kike akipata mimba anaambiwa ni kiherehere chake,kikwete nikanali na atabakia kuwa kanali hawezi udocta huyu dogo.