Don Mangi JF-Expert Member Nov 1, 2010 2,198 852 Jul 24, 2012 #1 Baada ya safari ndefu na mahangaiko ya hapa na pale hatimaye nimetua mji wa moshi rasmi. . .wana jf wa moshi tutafutane tubadilishane mawazo mawili, matatu katika mji wetu wenye historia kubwa katika nchi hii.
Baada ya safari ndefu na mahangaiko ya hapa na pale hatimaye nimetua mji wa moshi rasmi. . .wana jf wa moshi tutafutane tubadilishane mawazo mawili, matatu katika mji wetu wenye historia kubwa katika nchi hii.
L Loloo JF-Expert Member Apr 9, 2011 214 54 Jul 24, 2012 #4 Tunaisaka shilingi ilipo nenda uje X-mas tutakkuwa na muda mrefu wa kuelezana yaliyojiri 2012 Mungu akitujalia.usiache kuja na gari ya kukodisha yadi
Tunaisaka shilingi ilipo nenda uje X-mas tutakkuwa na muda mrefu wa kuelezana yaliyojiri 2012 Mungu akitujalia.usiache kuja na gari ya kukodisha yadi
Don Mangi JF-Expert Member Nov 1, 2010 2,198 852 Jul 24, 2012 Thread starter #5 Avaya said: karibu sana tuambie uko maeneo gani? Click to expand... Shukran. . .nitakua maeneo ya mjini mitaa ya Kiusa then baadae nitaelekea Rau kulaza kichwa,
Avaya said: karibu sana tuambie uko maeneo gani? Click to expand... Shukran. . .nitakua maeneo ya mjini mitaa ya Kiusa then baadae nitaelekea Rau kulaza kichwa,
Eiyer JF-Expert Member Apr 17, 2011 28,258 20,712 Jul 24, 2012 #6 Ningekua huko ningekusaka,maana ndo home!
Don Mangi JF-Expert Member Nov 1, 2010 2,198 852 Jul 24, 2012 Thread starter #8 Eiyer said: Ningekua huko ningekusaka,maana ndo home! Click to expand... Poa basi tuwakilishe leaders kwenye siku yetu maana nina wasiwasi na walioandaa. . .
Eiyer said: Ningekua huko ningekusaka,maana ndo home! Click to expand... Poa basi tuwakilishe leaders kwenye siku yetu maana nina wasiwasi na walioandaa. . .
Don Mangi JF-Expert Member Nov 1, 2010 2,198 852 Jul 24, 2012 Thread starter #9 Caritha said: Napita... Click to expand... Njia ina miba. . .
Angel Msoffe JF-Expert Member Jun 21, 2011 6,781 1,639 Jul 24, 2012 #10 tukutane kwa kipanga sa 2 uck
Don Mangi JF-Expert Member Nov 1, 2010 2,198 852 Jul 24, 2012 Thread starter #11 Angel Msoffe said: tukutane kwa kipanga sa 2 uck Click to expand... Ni PM for further directions nisifike pale nikaanza kuuza chai. . .
Angel Msoffe said: tukutane kwa kipanga sa 2 uck Click to expand... Ni PM for further directions nisifike pale nikaanza kuuza chai. . .
L Loloo JF-Expert Member Apr 9, 2011 214 54 Jul 24, 2012 #12 ah umegusia Kiusa nikahisi niko home?DU I MISSS MOOOSHI
Don Mangi JF-Expert Member Nov 1, 2010 2,198 852 Jul 24, 2012 Thread starter #13 sweetbaby said: ah umegusia Kiusa nikahisi niko home?DU I MISSS MOOOSHI Click to expand... Usihofu sb. . .jipange uje december
sweetbaby said: ah umegusia Kiusa nikahisi niko home?DU I MISSS MOOOSHI Click to expand... Usihofu sb. . .jipange uje december
Kunta Kinte JF-Expert Member May 18, 2009 3,688 1,282 Jul 24, 2012 #15 sweetbaby said: ah umegusia Kiusa nikahisi niko home?DU I MISSS MOOOSHI Click to expand... Du nawe wa Kiusa? huenda ndugu/jirani yangu!!
sweetbaby said: ah umegusia Kiusa nikahisi niko home?DU I MISSS MOOOSHI Click to expand... Du nawe wa Kiusa? huenda ndugu/jirani yangu!!
measkron JF-Expert Member Apr 11, 2011 3,782 2,406 Jul 24, 2012 #16 Angel Msoffe said: tukutane kwa kipanga sa 2 uck Click to expand... Pazuri ni pale River Nile nyuma ya NMB Mandela branch, supu ya ulimi Wa ng'ombe, mkia, kichwa cha mbuzi, na kitu inaitwa mvurugo!!
Angel Msoffe said: tukutane kwa kipanga sa 2 uck Click to expand... Pazuri ni pale River Nile nyuma ya NMB Mandela branch, supu ya ulimi Wa ng'ombe, mkia, kichwa cha mbuzi, na kitu inaitwa mvurugo!!