KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Mimi nilikuwa ktk mahusiano na na mtu kwa muda wa miaka 3,ila ktk miaka hiyo nimekuwa na matukio mengi hasa katika swala la mahusiano mwenzangu aliwahi kuwa katika mahusiano zaidi yangu! Kwanza hakuniambia kama wana uhusiano mpaka nilipo gundua mwenyewe akaomba samahani nikamsamehe,mara yapili nikambamba na msg yajamaa kumubananisha akakubali nikamsamehe tena!tukakaa juzi nikakuta tai kwake kumwuliza akarusha nikamwambia kama uniambii itz over baadae akasema ya mfanyakazi mwenzie ila nikajua ananichakachua nikamtema nikamshmnsha ktk gari.Sasa tumeachana ila sasa na haha mimi naomba turudiane nayeye hataki!ila akija ofcn nikifunga mlango napewa ila kimagutu ila sijaona waku cover nafasi yake je nifanyeje?nampenda status yangu married na usihoji maisha nikupanga na kupanga nikuchagua!