Wana Jf nisaidie hili!

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,578
8,600
Mimi nilikuwa ktk mahusiano na na mtu kwa muda wa miaka 3,ila ktk miaka hiyo nimekuwa na matukio mengi hasa katika swala la mahusiano mwenzangu aliwahi kuwa katika mahusiano zaidi yangu! Kwanza hakuniambia kama wana uhusiano mpaka nilipo gundua mwenyewe akaomba samahani nikamsamehe,mara yapili nikambamba na msg yajamaa kumubananisha akakubali nikamsamehe tena!tukakaa juzi nikakuta tai kwake kumwuliza akarusha nikamwambia kama uniambii itz over baadae akasema ya mfanyakazi mwenzie ila nikajua ananichakachua nikamtema nikamshmnsha ktk gari.Sasa tumeachana ila sasa na haha mimi naomba turudiane nayeye hataki!ila akija ofcn nikifunga mlango napewa ila kimagutu ila sijaona waku cover nafasi yake je nifanyeje?nampenda status yangu married na usihoji maisha nikupanga na kupanga nikuchagua!
 
kachoka kuliwa na waume za watu, kaamua kukufanyia visa,halafu na wewe uache ukahaba, si ubaki na mkeo?
 
kachoka kuliwa na waume za watu, kaamua kukufanyia visa,halafu na wewe uache ukahaba, si ubaki na mkeo?

kumbe hili neno kuliwa ni fair?wanawake mnalipenda kumbe?nilifikiri tukilitumia sisi mnaona mnadhalilishwa,kumbe sivyo?
so mnaliwa?????/lol
 
Mimi nilikuwa ktk mahusiano na na mtu kwa muda wa miaka 3,ila ktk miaka hiyo nimekuwa na matukio mengi hasa katika swala la mahusiano mwenzangu aliwahi kuwa katika mahusiano zaidi yangu!
Kwanza hakuniambia kama wana uhusiano mpaka nilipo gundua mwenyewe akaomba samahani nikamsamehe,mara yapili nikambamba na msg yajamaa kumubananisha akakubali nikamsamehe tena!tukakaa juzi nikakuta tai kwake kumwuliza akarusha nikamwambia kama uniambii itz over baadae akasema ya mfanyakazi mwenzie ila nikajua ananichakachua nikamtema nikamshmnsha ktk gari.Sasa tumeachana ila sasa na haha mimi naomba turudiane nayeye hataki!ila akija ofcn nikifunga mlango napewa ila kimagutu ila sijaona waku cover nafasi yake je nifanyeje?nampenda status yangu married na usihoji maisha nikupanga na kupanga nikuchagua!
........Mwe!! hebu rudi kwenye thread ya Babu Asprin kuna alosema kuwa kama amekukubalia wewe ambaye ni mume wa mtu, nini kitamzuia asimkubalie yule, na yule na yule?? Ukikubali kuwa na nyumba ndogo ya wizi kubali kusashare......afterall Sharing is Caring LOL

Mweyego, pole ni dhahiri unampenda sana but hebu ifikirie afya yako, ya mkeo na wanenu kama mnao. Huko kushindwa kujizuia ni kwa sababu hujajipa nafasi ya kuwa mbali naye (maana umeandika umemtema juzi, na leo unataka mrudiane!! au mi cjaelewa?)
 
Mimi nilikuwa ktk mahusiano na na mtu kwa muda wa miaka 3,ila ktk miaka hiyo nimekuwa na matukio mengi hasa katika swala la mahusiano mwenzangu aliwahi kuwa katika mahusiano zaidi yangu!
Kwanza hakuniambia kama wana uhusiano mpaka nilipo gundua mwenyewe akaomba samahani nikamsamehe,mara yapili nikambamba na msg yajamaa kumubananisha akakubali nikamsamehe tena!tukakaa juzi nikakuta tai kwake kumwuliza akarusha nikamwambia kama uniambii itz over baadae akasema ya mfanyakazi mwenzie ila nikajua ananichakachua nikamtema nikamshmnsha ktk gari.Sasa tumeachana ila sasa na haha mimi naomba turudiane nayeye hataki!ila akija ofcn nikifunga mlango napewa ila kimagutu ila sijaona waku cover nafasi yake je nifanyeje?nampenda status yangu married na usihoji maisha nikupanga na kupanga nikuchagua!
 
Kakakiiza
Because of your status I see no wrong in what she has done. Everyone needs someone of their own, and unfortunately it is obvious that you can't be that for her! So stop being selfish and acha wivu wa kijinga.................................That said, what you can do is maybe apologize to her, and try to appeal to her sense of logic instead . i.e Let her know that your haste decision, that you now regret was not from plain stupid jelousy only, but rather other serious concerns like magonjwa possibly!??
 
........Mwe!! hebu rudi kwenye thread ya Babu Asprin kuna alosema kuwa kama amekukubalia wewe ambaye ni mume wa mtu, nini kitamzuia asimkubalie yule, na yule na yule?? Ukikubali kuwa na nyumba ndogo ya wizi kubali kusashare......afterall Sharing is Caring LOL

Mweyego, pole ni dhahiri unampenda sana but hebu ifikirie afya yako, ya mkeo na wanenu kama mnao. Huko kushindwa kujizuia ni kwa sababu hujajipa nafasi ya kuwa mbali naye (maana umeandika umemtema juzi, na leo unataka mrudiane!! au mi cjaelewa?)

Mwanajamiione,ur perfectly right!
 
kumbe hili neno kuliwa ni fair?wanawake mnalipenda kumbe?nilifikiri tukilitumia sisi mnaona mnadhalilishwa,kumbe sivyo?
so mnaliwa?????/lol
Blacks wa Marekani wakiitwa nigger na Mzungu lazima pachimbike, ila wenyewe kuitana nigger ni poa tu.
 
sina la kukushauri zaidi ya kukuambia utumie condom,refer asprin's topic kama unacheat,cheat rensponsibly!
 
Kama we unamcheat mkeo kwanini kinakuuma wewe kucheatiwa na unayecheat nae?!

Kama ambavyo wewe sio mtulivu ndivyo nae asivyo mtulivu.
 
Najua yote mliyosema ila ndo msaada niliouomba kwenu mbona nyinyi ndo mumekuwa selfsh zaidi kuliko nyinyi mnavyosema mimi selfsh!
 
Najua yote mliyosema ila ndo msaada niliouomba kwenu mbona nyinyi ndo mumekuwa selfsh zaidi kuliko nyinyi mnavyosema mimi selfsh!
Sasa unataka sisi tukusaidieje?!Umeshajua yeye ana tabia kama yako tu kwahiyo mkubali kama alivyo(kama alivyokukubali wewe) muendelee.
 
Sasahivi hataki ila mimi ndo nataka!ila nikibananisha kuliko tulia mashine naendesha ila kuwanaye huru hataki anasema anafuta wake mwenyewe!
 
Mwache binti wa watu nae aje kuwa na familia yake,kuendelea kuwa nae ni kujitafutia maumivu tu.Kwa sasa mtajidanganya eti mnapendana lakini ujue kuna siku atakutaarifu kwamba amepata mchumba na ameamua kusettle down kwani wewe si wake. Be prepared .
 
Hivi unaomba tukupe nasaha za kuzini!

Tafadhali sana rudi kwa mkeo wa ndoa achana na matamanio ya kidunia hayakusaidii kitu.
 
Back
Top Bottom