Wana JF Naombeni ushauri kwa hili.

Wana JF Naombeni ushauri kwa hili.

Joined
Jun 21, 2013
Posts
47
Reaction score
29
Habari wana Jf,
Mwaka 2007 nikiwa kidato cha pili shule ya sekondari umbwe nilipata mpenzi toka shule jirani inaitwa somsom, hakika nilimpenda sana huyo dada, lakini penzi letu liliingia doa baada ya huyo mdada kupata mimba march 2008, ilibidi nitumie kila njia ku make sure that issue haifiki xul pamoja na maskani kwao ili kunusuru elimu yangu na nilitumia kila mbinu kumfanya huyo mdada aamini kuwa mm ndo tumain pekee katika maisha yake ili aweze kunidefend nyumbani kwao nisijulikane kabsaa. Namshkuru mungu our mission was successful na tuliendelea kuwa pamoja mpaka alipojifungua mtoto, na mm niliendelea kutoa msaada wa kifedha kadri ya uwezo wangu ili kuweka mazngra safi na trust kwa mama nanii..
Baada ya kuhitimu kidato cha nne, kwa kuwa ckuwa na hela za kuweza kusafiri naye kwenda home, ilibidii nimuombe anivumilie niende dar kutafuta life ili nipate hela ya kusafiri kwenda home kwetu Geita. Mpenz wangu alikataa kumuacha coz aliamin akiniiacha niende ndo byebye, lakin illi kufanya aamin kuwa i was serious, ilibidi nimpe livin certificate yangu ka dhamana ya kuwa nitarudi kumchukua na hapo ndo mama nanii akakubali..
Baada ya miezi mi tatu niliweza kupata hela ya kutosha mara baada ya kuajiriwa na boss fulani mwananyamala, ilibidii niwape taarifa wazaz pamoja na historia nzma kati yangu na mpenz wangu, nashukuru wazaz walinielewa na wakakubali niende naye nyumban.. Hivyo nilipita moshi kumchukua mama nanii na tukaenda mpaka home, hakika alifurahi sana sana... Jambo la ajabu ambalo yy alilifanya mara baada ya mm kumuachia certificate na kwenda dar, alidanganyika na kunisaliti hatimaye akatiwa mimba nyingne na mchiz wa mtaani kwao, hvo kipindi namchukua mimba ilikuwa haionekan coz ili kuwa na miez michache ila yy akaamua kunificha. Baada ya matokeo kutoka na bahati nzuri nkawa nmefaulu kuendlea na masomo ya A-level azania dar ndo akaniambia kuwa ana mimba nyingne, nkamuuliza ya nan akasema ni ya kwangu, na mm ckuwa na la kusema coz mtu anasema kuwa ya kwangu na mm ndo mme ilibidi nikubali tuu, lakin ilibidi nimuulize kuwa hiyo mimba ina mda gan? Akajibu miez mitatu na wakat amekaa home miez miwili tuu na tangia nitoke moshi up to dar ckufanya nae tendo la ndoa.... Hapo niliweka..?
Kitu kingine ambacho kilinifanya nishitukeni kwamba alijifungua mwez wa saba wakti ana miezi sitta tuu tangia amefka kijijini kwetu.. Hivyo it meanz alipata mimba hyo mwez mmoja mara baada ya mm kwenda dar.. Hakika nilipata mawazo sana na kipind hicho ndo niko kidato cha tano.. Mara baada ya kufunga shule mwez wa nane, nlienda home na niliishi naye vizuri bila kuonesha hali yoyte ya chuki juu yake japo majibu yote nilikuwa nayo kuwa hapa nimeibiwa.. Cku moja usiku ilibidi aniamshe na kunipa story ya kweli kuhusu hyo mimba huku akiwa analia sana, ilibidii busara zaid itumike kumuweka sawa usiku ule na nilimuahidi kuwa qcjali na huyo mtoto nitamjali as mine na iwe siri yangu na yy...
Lakin baada ya mwez mmoja kupita aliniomba ruhusa ya kwenda home kwao kuchukua baadhi ya vitu pamoja na baraka za wazaz wake, na mm nilimtafutia nauli na kumruhusu aende, baada ya kuwa ameomba ruhusa nikaona ndo opportunity ya kuachana naye coz anaenda na mtoto wake na ananiachia wangu.
Hivyo baada ya kufika hme kwao ilibidi nmwambie ukweli kuwa sitakuwa tayari kuishi naye mpaka pale niitakapomaliza masomo yangu, lakin yy hakuridhika na alikuwa ananisumbua sana kwenye cmu mpaka nikaamua kuchange line, Baada ya mwez mmoja nilipata taarifa kuwa ameolewa na aliyempiga mimba but yule jamaa alikuwa na mke mwingne hvyo one month later jamaa aliamua kumpangishia nyumba maeneo ya Boma-hai na kuishi naye hatimaye akamtelekeza mara baada ya kushindwa kulipa rent, mpka leo dada huyo yupo mtaani na maisha yamepiga sana na ananipigia simu daily akitaka turudiane....
NAOMBENI USHAURI WENU GT........
 
changanya na za mbayuwayu kidogo kubusti ubongo.........amepigika ndo anakukumbuka baada ya kutelekezwa it means angepata life zuri usingemuona,ila kibinadamu unaweza kumfadhili kama mzazi mwenzio lakini mke mmmmmh maybe kajifunza mengi na libolos nyingi alizopitia kaona usajili permanent uko kwako hivyo anajaribu bahati yake.
 
Haya kamchukue bana maana wewe ndiye uliyemharibia future yake ndo mengine yote yakafuatia
 
labda umuoe tu huyo mzazi mwenzio lakini anaonekana ana tamaa ya ngono..!!
 
Rudiana nae. Ila hakikisha anakuja na huyo mtoto namba 2. Anza na mapema kabisa kujizoeza kukusanya mbigili na maharage utakayovuna manake mbigili zinafaa kwa kuni pia. This time atarudi na mimba ya huyo 'muoaji' (naomba uniamini manake nna kamkoba ka utabiri sema tu sijaanza commercial utilization).
Huyo dada mimba zake zinakukubaki aisee. Ushamaliza vidato?
 
Rudiana nae. Ila hakikisha anakuja na huyo mtoto namba 2. Anza na mapema kabisa kujizoeza kukusanya mbigili na maharage utakayovuna manake mbigili zinafaa kwa kuni pia. This time atarudi na mimba ya huyo 'muoaji' (naomba uniamini manake nna kamkoba ka utabiri sema tu sijaanza commercial utilization).
Huyo dada mimba zake zinakukubaki aisee. Ushamaliza vidato?

Utabiri mzuri sana
 
Rudiana nae. Ila hakikisha anakuja na huyo mtoto namba 2. Anza na mapema kabisa kujizoeza kukusanya mbigili na maharage utakayovuna manake mbigili zinafaa kwa kuni pia. This time atarudi na mimba ya huyo 'muoaji' (naomba uniamini manake nna kamkoba ka utabiri sema tu sijaanza commercial utilization).
Huyo dada mimba zake zinakukubaki aisee. Ushamaliza vidato?
bado ndo niko first year mkuu
 
changanya na za mbayuwayu kidogo kubusti ubongo.........amepigika ndo anakukumbuka baada ya kutelekezwa it means angepata life zuri usingemuona,ila kibinadamu unaweza kumfadhili kama mzazi mwenzio lakini mke mmmmmh maybe kajifunza mengi na libolos nyingi alizopitia kaona usajili permanent uko kwako hivyo anajaribu bahati yake.
thankx alot mkuu kwa ushauri mzuri
 
Dunia..
Dunia..
Wanawake wenye akili za kushikiwa pole yenu.

Kamanda tafuta mtu mwingine,inamana asingetelekezwa asingekutafuta,anayekutafuta wakati wa shida hana mapenzi na wewe.
 
Yaani we umemharibia mwenzio future kabisa, yawezekana wewe ndo umechangia yote hayo, yaani kumwachina living ndo nini sasa ulitakiwa umwachie mbesa za matumizi na baada ya mwezi ungelienda kumchukua
 
Maliza masomo bwana....alilikoroga mwache alinywe, kumbe mtoto wako yuko kwa wazeee sioni shida.
 
changanya na za mbayuwayu kidogo kubusti ubongo.........amepigika ndo anakukumbuka baada ya kutelekezwa it means angepata life zuri usingemuona,ila kibinadamu unaweza kumfadhili kama mzazi mwenzio lakini mke mmmmmh maybe kajifunza mengi na libolos nyingi alizopitia kaona usajili permanent uko kwako hivyo anajaribu bahati yake.
Asnam naukunga mkono ulichoandika!
Na pia nimegundua kumbe Watanzania ni watu wenye huruma mno na pia ni wavumilivu sana. Nimesoma hiyo stori ya huyo jamaa na mpenzi wake na jinsi huyo jamaa alivyokuwa akishare huyo msichana na jamaa mwingine, mara leo anaishi naye yeye mara kesho anaishi na mwingine, leo kazaa na yy kesho yake kazaa na mwingine na still bado anafikiria kurudiana naye na kumfanya kuwa mke!
Kwa mara ya kwanza, nimekosa cha kuongea!
 
Mmmh...hata sijui nianzie wapi kutoa ushauri kwako ndugu yetu.

Mara zote majuto huja kama hitimisho la mambo fulani fulani kwenda mrama baada ya ukiukwaji wa namna njema ya utekelezaji au ukosefu wa maamuzi sahihi...

Kosa namba moja...
lakini penzi letu liliingia doa baada ya huyo mdada kupata mimba march 2008, ilibidi nitumie kila njia ku make sure that issue haifiki xul pamoja na maskani kwao
Binafsi nimegundua chanzo kikubwa cha kadhia hii, ni ninyi kuanza kushiriki mapenzi yasiyo salama katika umri mdogo na matokeo yake mkaishia kuwa wazazi katika umri ambao hamkuwa tayari katika nyanja yoyote...
Hakuna asiyejua kuwa ukipanda maharage pasi na shaka utavuna maharage na wala sio maboga, hivyo kwa namna yoyote ile kufanya mapenzi bila kinga wala tahadhari hupelekea mimba isiyotarajiwa...

Kosa namba mbili...
Ulipoamua kuishi naye wewe mwenyewe umebainisha kwamba uligundua kuwa kuna jambo hawala yako akuficha...
Bahati nzuri naye dhamira ikamsuta na akaomba msamaha mbele zako nawe ukamfikia maamuzi haya hapa chini kama nilivyonukuu...
ilibidii busara zaid itumike kumuweka sawa usiku ule nanilimuahidi kuwa qcjali na huyo mtoto nitamjali as mine na iwe siri yangu na yy...
Ushauri...
1. Zingatia hiyo ahadi uliyoitoa mbele za huyo bi mkubwa wako...

2. Omba msamaha mbele za Mungu wako...

3. Barikini mahusiano yenu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom