Wana JF Naombeni ushauri kwa hili.

Wana JF Naombeni ushauri kwa hili.

Mosses Mashili
Hii post nimeikuta humu jamvini lakini katika uzi mwingine tu...

https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/484399-viungo-kuuma-siku-kadhaa-mara-ya-sex-msaada-plz.html

Je, unaweza kunisaidia ufafanuzi kidogo kwenye hizo sehemu zenye maandishi mekundu, maana kuna kengele ya kutokukuamini imelia kichwani mwangu haswa baada ya kuhusianisha hayo maandishi na huu uzi...


Duuuuh pole sana best, hilo tatizo hata mm lishawahi kunitokea mara baada ya kudoo na manzi wangu (nilipiga bao nying sana usiku huo coz of long time no see) hivo kesho ake nikiwa nasafiri frm mwanz to rchuga, hali haikuwa nzuri, kiuno kilikuwa kinauma sana na kila joint ya mwili ilikuwa inaauma plus maumivu makali wakat wa kukojoa...

SOLUTIONS
Nilienda kwa doctor (kaloleni) nkamweleza cause of the problem, kama kawaida akanpima mkojo bt no results found ikabidi anipe dawa za kutuliza maumivu tuuu... Matokeo yale yalinifanya nisiaamin sana so ilibidii nienda kwa mmasai mmoja hapa container arusha nkamweleza hilo tatzo, masai aliniambia kuwa hali ka hyo ni dalili ngiri alinipa dawa za elfu mbili na baada ya kutumia tatzo hilo halijanitokea tena mpaka leo na naendelea kuenjoy na manz wangu ka kawaida
 
Mmmh...hata sijui nianzie wapi kutoa ushauri kwako ndugu yetu.

Mara zote majuto huja kama hitimisho la mambo fulani fulani kwenda mrama baada ya ukiukwaji wa namna njema ya utekelezaji au ukosefu wa maamuzi sahihi...

Kosa namba moja...

Binafsi nimegundua chanzo kikubwa cha kadhia hii, ni ninyi kuanza kushiriki mapenzi yasiyo salama katika umri mdogo na matokeo yake mkaishia kuwa wazazi katika umri ambao hamkuwa tayari katika nyanja yoyote...
Hakuna asiyejua kuwa ukipanda maharage pasi na shaka utavuna maharage na wala sio maboga, hivyo kwa namna yoyote ile kufanya mapenzi bila kinga wala tahadhari hupelekea mimba isiyotarajiwa...

Kosa namba mbili...
Ulipoamua kuishi naye wewe mwenyewe umebainisha kwamba uligundua kuwa kuna jambo hawala yako akuficha...
Bahati nzuri naye dhamira ikamsuta na akaomba msamaha mbele zako nawe ukamfikia maamuzi haya hapa chini kama nilivyonukuu...

Ushauri...
1. Zingatia hiyo ahadi uliyoitoa mbele za huyo bi mkubwa wako...

2. Omba msamaha mbele za Mungu wako...

3. Barikini mahusiano yenu...

Ndugu yangu watu8, ukisoma vizuri uzi wa huyo kaka, ni kweli alifanya makosa kumpa mimba yule dada, lakini ni kosa ambalo alilijutia na baadaye akaamua kuubeba mzigo wa malezi ya mama na mtoto. Yeye binafsi hakukimbia kulea familia yake maana hata baada ya kuamia Dar hakutafuta mke mwingine, bado alirudi kumfuata mama na mtoto wake. Kilichotokea ni hali ya huyo dada kutokuwa mwaminifu na kufikia kupewa mimba! Naamini kwa maelezo yake, isingekuwa mimba, sidhani kama kungekuwa na kikwazo kwenye ndoa yao. Si jambo zuri, kuwa tayari kuteswa emotionally na pyschologically na mtu kwa kisingizio kidogo tu eti kwa sababu alikusaidia kukutunzia siri hapo zamani. Kucapitalize kwenye weakness ya mtu si jambo jema hata kidogo kwenye mustakabali wa maisha ya mahusiano!

Tutofautishe kosa la mtu "kumpa mimba girl friend" wake na kosa la "mwanamke kupewa mimba na mwanaume mwingine" inhali ana mwanume aliyezaa naye na anayetarajia kuwa mume wake. Kosa hili la pili, lina uzito tofauti sana maana linaonyesha hali ya huyo dada kukosa uvumilivu. Kosa la pili hata kwa wenye ndoa, baadhi ya vitabu vya dini vinatoa ruksa kumuacha mke/mume bila jamii kukushangaa.
Binafsi napata ugumu sana kumshauri huyo ndugu kumrudia huyo dada, ingawa najua wengi wanaweza wasinielewe ...
 
Habari wana Jf,
Mwaka 2007 nikiwa kidato cha pili shule ya sekondari umbwe nilipata mpenzi toka shule jirani inaitwa somsom, hakika nilimpenda sana huyo dada, lakini penzi letu liliingia doa baada ya huyo mdada kupata mimba march 2008, ilibidi nitumie kila njia ku make sure that issue haifiki xul pamoja na maskani kwao ili kunusuru elimu yangu na nilitumia kila mbinu kumfanya huyo mdada aamini kuwa mm ndo tumain pekee katika maisha yake ili aweze kunidefend nyumbani kwao nisijulikane kabsaa. Namshkuru mungu our mission was successful na tuliendelea kuwa pamoja mpaka alipojifungua mtoto, na mm niliendelea kutoa msaada wa kifedha kadri ya uwezo wangu ili kuweka mazngra safi na trust kwa mama nanii..
Baada ya kuhitimu kidato cha nne, kwa kuwa ckuwa na hela za kuweza kusafiri naye kwenda home, ilibidii nimuombe anivumilie niende dar kutafuta life ili nipate hela ya kusafiri kwenda home kwetu Geita. Mpenz wangu alikataa kumuacha coz aliamin akiniiacha niende ndo byebye, lakin illi kufanya aamin kuwa i was serious, ilibidi nimpe livin certificate yangu ka dhamana ya kuwa nitarudi kumchukua na hapo ndo mama nanii akakubali..
Baada ya miezi mi tatu niliweza kupata hela ya kutosha mara baada ya kuajiriwa na boss fulani mwananyamala, ilibidii niwape taarifa wazaz pamoja na historia nzma kati yangu na mpenz wangu, nashukuru wazaz walinielewa na wakakubali niende naye nyumban.. Hivyo nilipita moshi kumchukua mama nanii na tukaenda mpaka home, hakika alifurahi sana sana... Jambo la ajabu ambalo yy alilifanya mara baada ya mm kumuachia certificate na kwenda dar, alidanganyika na kunisaliti hatimaye akatiwa mimba nyingne na mchiz wa mtaani kwao, hvo kipindi namchukua mimba ilikuwa haionekan coz ili kuwa na miez michache ila yy akaamua kunificha. Baada ya matokeo kutoka na bahati nzuri nkawa nmefaulu kuendlea na masomo ya A-level azania dar ndo akaniambia kuwa ana mimba nyingne, nkamuuliza ya nan akasema ni ya kwangu, na mm ckuwa na la kusema coz mtu anasema kuwa ya kwangu na mm ndo mme ilibidi nikubali tuu, lakin ilibidi nimuulize kuwa hiyo mimba ina mda gan? Akajibu miez mitatu na wakat amekaa home miez miwili tuu na tangia nitoke moshi up to dar ckufanya nae tendo la ndoa.... Hapo niliweka..?
Kitu kingine ambacho kilinifanya nishitukeni kwamba alijifungua mwez wa saba wakti ana miezi sitta tuu tangia amefka kijijini kwetu.. Hivyo it meanz alipata mimba hyo mwez mmoja mara baada ya mm kwenda dar.. Hakika nilipata mawazo sana na kipind hicho ndo niko kidato cha tano.. Mara baada ya kufunga shule mwez wa nane, nlienda home na niliishi naye vizuri bila kuonesha hali yoyte ya chuki juu yake japo majibu yote nilikuwa nayo kuwa hapa nimeibiwa.. Cku moja usiku ilibidi aniamshe na kunipa story ya kweli kuhusu hyo mimba huku akiwa analia sana, ilibidii busara zaid itumike kumuweka sawa usiku ule na nilimuahidi kuwa qcjali na huyo mtoto nitamjali as mine na iwe siri yangu na yy...
Lakin baada ya mwez mmoja kupita aliniomba ruhusa ya kwenda home kwao kuchukua baadhi ya vitu pamoja na baraka za wazaz wake, na mm nilimtafutia nauli na kumruhusu aende, baada ya kuwa ameomba ruhusa nikaona ndo opportunity ya kuachana naye coz anaenda na mtoto wake na ananiachia wangu.
Hivyo baada ya kufika hme kwao ilibidi nmwambie ukweli kuwa sitakuwa tayari kuishi naye mpaka pale niitakapomaliza masomo yangu, lakin yy hakuridhika na alikuwa ananisumbua sana kwenye cmu mpaka nikaamua kuchange line, Baada ya mwez mmoja nilipata taarifa kuwa ameolewa na aliyempiga mimba but yule jamaa alikuwa na mke mwingne hvyo one month later jamaa aliamua kumpangishia nyumba maeneo ya Boma-hai na kuishi naye hatimaye akamtelekeza mara baada ya kushindwa kulipa rent, mpka leo dada huyo yupo mtaani na maisha yamepiga sana na ananipigia simu daily akitaka turudiane....
NAOMBENI USHAURI WENU GT........

kwanza pole kwa yote mkuu..

huyo binti yupo na huyo mtoto wake hapa Boma?

kuna kazi naweza kumpatia..nimekuPM
 
kwani, unaomba ushauri au umesimulia hadithi!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom