Nawasalimu kwa umoja wana JF
Kiukweli mm mwenzenu ni mgeni kwa hii jamii ila nimekua nikiona watu wanafaidika na kuelimishwa kupitia hili jamvi lenye upendo lenye mchanganyiko wa mawazo tofauti hivyo nikavutiwa kujiunga ili na mimi niweze kua na uhuru wa kutoa mawazo yangu pia kuuliza maswali yale ambayo nahisi yananichanganya. leo ninaanza na kutaka kujua kama vyombo vya usafiri wa aga kama vile NDEGE, HERICOPTA navyombo vingine kama hivyo vitumiavyo anga je vina honi kama za gari au pikipiki au baiskeli nk? je zina bleack kwamba hata zikikutana na kitu cha ajabu huko juu zinaweza zikaminywa bleack ili kipite nk au zikiwa kwenye running way je zinaweza kuminywa bleack na ikasimama ?? najua wengi mtaniaidia kunifafanunulia na kama ujuh usitpie majibu ya kunikwaza
Kiukweli mm mwenzenu ni mgeni kwa hii jamii ila nimekua nikiona watu wanafaidika na kuelimishwa kupitia hili jamvi lenye upendo lenye mchanganyiko wa mawazo tofauti hivyo nikavutiwa kujiunga ili na mimi niweze kua na uhuru wa kutoa mawazo yangu pia kuuliza maswali yale ambayo nahisi yananichanganya. leo ninaanza na kutaka kujua kama vyombo vya usafiri wa aga kama vile NDEGE, HERICOPTA navyombo vingine kama hivyo vitumiavyo anga je vina honi kama za gari au pikipiki au baiskeli nk? je zina bleack kwamba hata zikikutana na kitu cha ajabu huko juu zinaweza zikaminywa bleack ili kipite nk au zikiwa kwenye running way je zinaweza kuminywa bleack na ikasimama ?? najua wengi mtaniaidia kunifafanunulia na kama ujuh usitpie majibu ya kunikwaza