zyuho
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 242
- 385
Kama kichwa hapo juu kinavojieleza Mimi ni muajiriwa wa shirika kubwa tu la serikali hapa nchini (temporary Employment) miaka 9 sasa naona wazo linalo nijia mafanikio yangu hayatapatikana kwenye nchi yangu ya ahadi sasa natamani nikapate changamoto mpya kwenye nchi za watu.Naomba ushauri wenu wakuu wa process za kuvuka ng'ambo ugumu na njia zake ni zipi. PM iko wazi kwa ushauri wakuu