TULIMAJE
Member
- Jun 14, 2017
- 92
- 51
Nina Blog yangu pia inaitwa QUALITY OPPORTUNITY NEWS Nashindwa jinsi ya kutengeneza pages (mfano ukiscrow hadi mwisho kuwe na Neno next au previous kabla hujafunguwa post moja wapo mfano 1,2,3,4,5,6,7,8,9,10) Lengo ni kuzipata post za nyuma maana ukiclick load more inazunguka tuu sasa badala ya load more iwe namba.
Nitafanyaje wadau au niingie wapi ili kuipata hiyo sehemu ?
Nitafanyaje wadau au niingie wapi ili kuipata hiyo sehemu ?