mwanakidagu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 208
- 78
'mbunge na madiwani jimboni iramba magharibi wameshindwa kujadili mipango na mikakati mathubuti ya kulikwamua jimbo ketu katika tope la umaskini,wamekuwa madiwani posho na mbunge wa mipasho bungeni. Je tufamnyeje wadau ili kukomesha mwendelezo wa wabunge wanaotelekeza majimbo na madiwani wasio na vipaumbele vya maendeleo.changia .hapa.
Source.mimi mwenyewe nikitaza mijadala ya bunge.
diwani wa kata moja wapo katika kuzungumza naye alibainisha hayo.'mods uacheni uzi huu ili wadau wajadili.kwa kuwa jimbo hili lina hitaji mkombozi wa thati kama musa wa kwenye biblia.
Source.mimi mwenyewe nikitaza mijadala ya bunge.
diwani wa kata moja wapo katika kuzungumza naye alibainisha hayo.'mods uacheni uzi huu ili wadau wajadili.kwa kuwa jimbo hili lina hitaji mkombozi wa thati kama musa wa kwenye biblia.